mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 15,861
- 35,190
Nipo kwenye mchakato wa kubadili uraia toka Tanzania kuwa Somalia. Je, kuhusu kabila langu la hapa Tanzania ndio basi au nitakuwa Msegeju wa Somalia?
Je, huko Somalia nikishapata uraia nikiulizwa kabila nitaje la Tanzania au nitafute kabila jipya huko Somalia?
Je, huko Somalia nikishapata uraia nikiulizwa kabila nitaje la Tanzania au nitafute kabila jipya huko Somalia?