Wanaoandamana kuunga mkono hotuba ya kikwete wanauelewa?

kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo...
sasa hao wanaoandamana ndo kenge wenyewe, ambao huwa wanayakimbia manyunyu wanakimbilia kwenye dimbwi.
 
.Inaelekea hujui mfumo mzima wa ujenzui wa shule hizi za msingi.ni vyema ukajielimisha kabla ya kulaumu.maana Ni ujinga kulaumu bila kufahamu.Mfumo au utaratibu wa ujenzi wa shule hizo.Wakulaumu ni wanakijiji wenyewe,DiwaniNK

Exactly!! sijui mfumo mzima wa shule za msingi mr/mrs knows all!!

Mwanakijiji utamlaumu vipi hapa?

Hivi wanakijiji wataambiwa kuna mabati na sementi wizara ya elimu kwa ajili ya ujenzi wa shule wakaacha kuyachukua? niambie kama kuna mwanakijiji yeyote anayependa mtoto wake aende shule akakalie mavumbi? I DONT THINK SO!
Fundi atapewa kazi na wizara ya elimu kujenga shule atakataa ajenge nyasi na udongo?

Kama kosa ni la wanakijiji basi kwanza angalia hapa;
Mjumbe wa nyumba kumi CCM,Serikali za mitaa sijui diwani, wote hao ninani kama sio CCM? Na hapo utakuta pia penginepo mh Mbunge ni wa CCM na kama unavyojua mbunge anaonekana kule akiomba kura akishapewa hafiki tena.
Unafikiri Mh kama anapita pale japokua sio kila siku lakini japo siku moja kwa mwezi wanafunzi wangekalia mavumbi?
Hebu muulize mbunge wa hilo jimbo kama anapajua hapo mahali, atapateteaje kama hajapafika na hapajui?

Saidsabke sijui wewe umejielimisha vipi lakini kwa ninanvyojua hasa watu walioelimika [sizungumzii serikali ya mafisadi] naongelea kule kwa wenzetu wamagharibi wenye akili! basi kama hizo images/ sehemu kama mhe, hajawahi kuziona mpaka zilipotolewa kwenye media basi na hata usingizi hata lala kuhofia kiti chake kwamba ataambiwa awajibike, tena wakuwajibika basi sio mjumbe wa nyumba kumi, diwani, au mbunge bali waziri wa elimu hasa aelezee kiurefu.

Saidsabke unajua ujinga ni kule kwamba huna unalojua na hutaki kujua lolote,
Wakati nasoma msingi kuna watu sio werevu sana darasani lakini wanatumia japo akili kidogo kuibia majawabu wenzao walivyofanya, wanaendelea hivyo hivyo mpaka vichwa vyao na wao vinafumbuka kwamba kumbe 1+1 = 2 hawa wanaitwa wajinga werevu.

Serikali yetu ina ujinga mwingi lakini haitaki kuujua na huu ndio unaitwa UJINGA kiswahili sanifu mbumbumbu.
 
CONFLICT THEORY
The several social theories that emphasize Social conflicts have roots in the ideas of Karl Marx (1818-1883), the great German theorist and political activist. The Marxist, conflict approach emphasizes a materialist interpretation of history, a dialectical method of analysis, a critical stance toward existing social arrangements, and a political program of revolution or, at least, reform. (www.wikipedia.com)
In conflict theory there are a few basic conflicts.
One of the basic conflicts in conflict theory is that of class.
There are low and high ranks in class, and that gives a certain group more power over another group which causes conflicts. For the most part, when an individual is part of a high ranked class they usually own a lot of property. That means that if you are of a lower class, then you don't own as much property. This usually causes conflict on who owns the most property and what property one does own. In Marx's original conception, ownership of property was the most essential determinant of the class structure. On the other hand Weber thought that property ownership was only one factor determining class structure. Also, in the words of Jurgen Habermas, the conflicts of different social structures and classes provide the many motives it takes to create and preserve many patterns of culture.
Another basic conflict in conflict theory is that of race and ethnicity. Much like in the class system, groups in this system are ranked by their prestige and power. This means that if a certain race or ethnicity has more education, prestige, and power then it is considered the better race or ethnicity which creates conflict.
Another kind of conflict is that of gender. This type of conflict can be noticeable by the
implication of a type of culture that is for men and a type of culture that is for women. Regions are another kind of conflict. This type of conflict is brought about by all of the different assumptions that people from one region have about people that are from another region. The regions could range from one country to another or one state/province to another.
Lastly, there is the conflict of religion. The conflict of religion is itself quite stratified; even though there is a group of people belonging to each religion they are divided much like the social structure of classes. All of these groups seek to gain power and use it to reshape society the way they see it best. It seems that this is the determining factor in the ruling class.
In conflict theory there are different modes of conflict. One mode of conflict theory is that of warfare and revolution. Warfare and revolutions take place phases due to the rocky “collations among a variety of social classes.” An example of warfare is that going on currently in Burma, where there is military versus population fighting for control over the country’s government.
Another mode of conflict in conflict theory is that of strikes. Modern society has created a main social divider between workers and managers. When workers feel they have been treated unfairly, they go on strike to regain their right to power.
Another mode of conflict in conflict theory is that of domination. Most social classes don't form their ideologies the same. Different groups will struggle in conflict over what they think is right, what the norms are, and their ideologies. Higher classes have more abstract ideologies, while subordinated classes that are much less to their advantage but still reflect the want in their own lives. The ideas of the ruling class are the ruling ideas, where the ruling material force is the ruling intellectual force.
Competition.Competition over scarce resources (money, leisure, sexual partners, and so on) is at
the heart of all social relationships. Competition rather than consensus is characteristic of human relationships.

Structural inequality Inequalities in power and reward are built into all social structures. Individuals and groups that benefit from any particular structure strive to see it maintained.

Revolution Change occurs as a result of conflict between competing social classes rather than through adaptation. Change is often abrupt and revolutionary rather than evolutionary
War. Even war is a unifier of the societies involved, as well as possibly ending whole societies. In modern society, a source of conflict is power where by politicians are competing to enter into a system which upon they act in their self interest, not for the welfare of people.(www.findarticles.com)

Conflict theory is based upon the view that the fundamental causes of crime are the social and economic forces operating within society. The criminal justice system and criminal law are thought to be operating on behalf of rich and powerful social elites, with resulting policies aimed at controlling the poor. The criminal justice establishment aims at imposing standards of morality and good behavior created by the powerful on the whole of society. Focus is on separating the powerful from have nots who would steal from others and protecting themselves from physical attacks. In the process the legal rights of poor folks might be ignored. The middle class are also co-opted; they side with the elites rather the poor, thinking they might themselves rise to the top by supporting the status quo.

Thus, street crimes, even minor monetary ones are routinely punished quite severely, while large scale financial and business crimes are treated much more leniently. Theft of a television might receive a longer sentence than stealing millions through illegal business practices. William Chamblis in a classic essay “The Saints and the Roughnecks,” compared the outcomes for two groups of adolescent misbehavers. The first, a lower class group of boys, was hounded by the local police and labeled by teachers as delinquents and future criminals, while the upper-middle class boys were equally deviant, but their actions were written off as youthful indiscretions and learning experiences.

Radical criminology or critical criminology is a branch of conflict theory, drawing its ideas from a basic Marxist perspective. For Karl Max (1818-1883), modern capitalist societies were controlled by a wealthy few (bourgeoisie) who controlled the means of production (factories, raw materials, equipment, technology, etc.) while everyone else (the proletariat) was reduced to the lot of being wage laborers. While Marx himself never really addressed in detail the criminal justice system’s specific role in keeping such a system in place, from his writings a radical tradition has emerged. From this perspective, certain types of crime take on a different character. Stealing can be seen as an attempt to take away from the rich. Eric Hobsbawn referred to the like as “social banditry.” Protest-related violence may actually be the start of proto-revolutionary movements, ultimately leading to a workers’ revolt and the establishment of a just society.
At a minimum this perspective aids in the explanation of certain actions; civil rights and antiwar protesters were being locked up in the 1960s because they threatened the established social order. The FBI and the CIA both directed efforts at monitoring such behavior. Thus, the law enforcement community had come down on the wrong side of those seeking social change.
Scenes of police officers attacking civil rights protesters with dogs, clubs, and water hoses and police riots such as the 1968 Democratic National Convention in Chicago appeared on nightly television news.
A number of other varieties of conflict theory have appeared since the 1960s. These include radical feminism, left realism, and peacemaking criminology. The latter two are attempts to tone down some of the rhetoric, and present a more balanced approach.
Radical feminism focuses on the plight of women under capitalism. Male domination has been the norm, and women have been subject to it in the home and workplace, as well as on the street. Radical feminist criminologists have looked at the unjust treatment of female teens, who are much more frequently subject to institutionalization for status offense violations (offenses that would not be criminal if an adult) such as running away from home, and particularly singled out for sexual deviance. While away from home or work alone, women must always be on their guard for potential attacks or advances from men. Living in fear has consequences, according to organizations such as Rape, Abuse, and Incest National Network (http://www.rainn.org/).

Left realism emerged in the 1980s, partially as a response to the crime victims’ movement of that decade. Victims forced criminologists to recognize that the primary victims of crime are not the wealthy, but the poor. Most predatory crimes are not “revolutionary” acts; they are attacks on family members and neighborhood residents. As advocated by Stanley Cohen and others, left realists recognize that the criminal justice system must act to stop criminal victimization without regard to the class of the perpetrators. At the same time, continued focus on the crimes committed by the rich and powerful is warranted. White collar and business related crimes remain important.
Peace making Criminilogy sought to expand the role of the discipline by looking at international issues such as war and genocide. International struggles for human rights and universal social justice are related foci of concern. Hal Pepinsky and Richard Quinney are major authors in this area. In addition, there are a number of not for profit non-government organizations (NGOs) involved in efforts such as these. For example, Witness (http://www.witness.org/) gives video cameras and photographic equipment to victims of government abuse and civil strife and asks them to document their experiences. These are then shared via the World Wide Web so that other can witness what is happening.(www.criminology.fsu.edu)

 
Hahahhah mzee umenena!! Mshikaji anafukuzia kuwa mpiga picha wa raisi ama wa IKULU aweke hizi amwagie kitumbua mchanga?

Unanikumbusha mambo ya mtu aitwaye Salva Rweyemamu.

Anaitwa Msemaji wa Ikulu.

Hivi Wasifu wake ni upi?
 
Nadhani anayepinga kuunga mkono Hotuba ya Rais Kikwete ni mbumbumbu.Haelewi lolote kuhusiana na maendeleo ya Tanzania.kama hamna la kuzuungumza la maana ni bora ukae kimya.Kila rais wa nchi ametoa mchango wake katika maendeleo ya nchi hii hao wanaoona haja fanya lolote ni haayawani.
Mi nadhani wewe ni mbumbumbu haswa maana umekaa mjini na hujawahi kutembea kokote. Siku zote kila analosema Rais kwako ni sawa hata kama kuna kasoro.
Sikiliza. Hakuna anayekataa kwamba JK hajafanya lolote. Huo ni mtizamo wako tu tunajua kwamba yako aliyofanya. Lakini haituzuii kusema ukweli maana katika maelezo yake ulaghai ni mwingi.
Nambie katika hotuba yake alisema elimu ya shule za msingi imepanda kiasi gani? Alitakiwa aseme ukweli kwamba bado hatujafikia lengo maana bado vijijini watu wanasoma katika mazingira magumu kama niliyoainisha hapa.
Mimi nakwenda kinyume na huo uongo unaoitwa sera ya maisha bora kwa kila mtanzania. Hayo maisha bora yanakuwa kwa kila mtanzania kweli? Na hasa katika hali hii ninayoiona? Wanatakiwa kusema kwamba hayo ni maisha bora kwa wateule fulani tu na si kwa kila mtanzania.
Wewe Saidsabke hujui unayoyasema. Kweli kila Rais anayo mazuri na mabaya yake. Na kila mmoja tutam judge kwa kila alivyo na anavyotutia matumaini.
Sasa huko vijijini maisha si bora. Wewe umeishi vizuri lakini wenzio Mhhhh. Angalia mtoto katika hali ya utapia mlo aliokuwa nao na uniambie kuwa ana maisha bora?.
Mtoto .jpg
Inaonekana uelewi nchi hii inavyokwenda hivyo nyamaza, na usishauri watu kuunga mkono upuuzi.
Mwizi anabembelezwa kurudisha alichoiba!?. Asiporudisha anatishiwa kushitakiwa. Huu ni umbumbumbu wenu na eti mnalishangilia hili wakati watoto wanakufa kwa utapia mlo, katika kijiji kilicho kilometa kama 40 kutoka ilipo zahanati. Na wanafunzi wanasoma katika vibanda vya kuku na kukaa vumbini! Alafu unasema sisi ni mbumbumbu kweli?
KAA KIMYA NA NYAMAZA.
 
Mchukia Fisadi huyo jamaa ni ufinyu wake wa elimu.

Kwani hajui kwamba maneno aliyosema JK yanapingana kabisa na hali halisi?
Maisha bora kwa kila mtazania!!?
Haya Saidsabke hao watoto sio watanzania?

Mchukia fisadi ahsante kwa picha zako, hii ndio inayotakiwa kuuelezea ulimwengu kwamba japo tuna Twins Tower ambayo ilichukua pia pesa nyingi za mvuja jasho, bali pia tuna umasikini.

Tena umasikini huo wakupindukia, asiyeyaona hayo hata kama anakwenda kanisani au msikitini basi haisaidii chochote.

Mtu yeyote aniambie kama hao watoto wana haki yakunyanyasika kiasi hiki. NI DHAMBI
 
Hizi picha kamwe hutaziona kwenye blog ya Michuzi

Jamani,

Mnamlaumu bure Michuzi, yeye blog yake ni kwa ajili ya celebrities. Kutegemea Michuzi aweke picha za ndugu na jamaa wanaohangaika na misha kila siku ni sawa na kwenye Hello magazine utegemee kuona omba omba.

Yeye kaamua ku concentrate kwenye celebrities na kama mtu unaenda huko lazima utegemee hivyo. Vinginevyo njoo JF ambako utapata pande mbili za shilingi.

Mimi muda mrefu sijatembelea huko. Wengine tumeoa, kila siku kuangalia watoto wazuri, tunaweza kupata tamaa bure!
 
Jamani,

Mnamlaumu bure Michuzi, yeye blog yake ni kwa ajili ya celebrities. Kutegemea Michuzi aweke picha za ndugu na jamaa wanaohangaika na misha kila siku ni sawa na kwenye Hello magazine utegemee kuona omba omba.

Yeye kaamua ku concentrate kwenye celebrities na kama mtu unaenda huko lazima utegemee hivyo. Vinginevyo njoo JF ambako utapata pande mbili za shilingi.

Mimi muda mrefu sijatembelea huko. Wengine tumeoa, kila siku kuangalia watoto wazuri, tunaweza kupata tamaa bure!

Mtanzania unajua maana ya blog ya jamii?
Hebu angalia blog yake inasema nini leo
MFADHILI WA BLOG YA JAMII AFUNGUA DUKA JIPYA

Hao watoto wanaosoma kwenye mabanda ya kuku pia ni jamii

Unasema blog yake ni kwa ajili ya celebreties toka lini?


Ona hapa blog inayohusika na haya mambo unayosema
http://bongocelebrity.com/
 
Mchukia Fisadi huyo jamaa ni ufinyu wake wa elimu.

Kwani hajui kwamba maneno aliyosema JK yanapingana kabisa na hali halisi?
Maisha bora kwa kila mtazania!!?
Haya Saidsabke hao watoto sio watanzania?

Mchukia fisadi ahsante kwa picha zako, hii ndio inayotakiwa kuuelezea ulimwengu kwamba japo tuna Twins Tower ambayo ilichukua pia pesa nyingi za mvuja jasho, bali pia tuna umasikini.

Tena umasikini huo wakupindukia, asiyeyaona hayo hata kama anakwenda kanisani au msikitini basi haisaidii chochote.

Mtu yeyote aniambie kama hao watoto wana haki yakunyanyasika kiasi hiki. NI DHAMBI
Darwin watoto hawana haki ya kukosa matibabu.
Hawana haki ya kusomea katika vibanda vibovu kama vya kuku.
Hawana haki ya kakaa sakafu ya vumbi.
hawana haki ya kukosa mlo hadi saa 9
Kulalamikia vijiji kwamba ndiyo vimesababisha haya ni ujinga ule ule wa sisiemu na serikali yake.
Serikali ndiye mhusika maana hata anayetoa taarifa kwa wabunge kuwa kiwango cha elimu ya msingi kimeongezeka kwa sababu tu watoto wengi wameorodheshwa shuleni, si vijiji, ni Rais nasi tuna mu attack yeye huyo huyo.
Vijiji havina bajeti toka serikalini ya kujenga shule mbali na kulazimishwa kuchangia huku wako katika lindi kubwa la ukata. Serikali inadai kukusanya kodi kubwa kila mwaka ikiwa na data za kuvunja rekodi kila mwaka, je pesa hiyo yaenda wapi? Inatumika kusafiria kwenda ulaya na Marekani tu?
Ni jukumu la serikali yoyote duniani kuakikisha kuwa wananchi wake wanapata elimu tena elimu bora si bora elimu. Na tena watoto wetu wakiwa katika majengo mazuri na yanayowahakikishia usalama wao. Kwani mtoto wa Makamba, Kikwete, Kingunge na hao wabunge wa chama cha wezi, wanaweza kusomea katika vibanda hivyo? wanamdanganya nani?
Lakini serikali ya huyu Saidsabke yenyewe eti inategemea vijiji ndiyo viandae mazingira mazuri ya elimu. Vijenge majengo bora ya kisasa, sio haya waliyojenga kwenye kata, vitafute na walimu, viwatafutie nyumba nzuri za kuishi na familia zao, viwalipe na mapunjo ya mishahara yao! vifanye hivyo na kwenye Afya, vifanye hivyo na kwenye maji, na umeme na simu na barabara..... jamani!!!!!!! hawa si wanaonewa tu?
Kuna wanakijiji hata mafuta ya taa ni shida kuyapata hivyo ukoka nyasi au mavi ya ng'ombe ili wapate mwanga.
Hadi hapa Saidsabke kaonyesha kiwango chake kikubwa cha ujinga kama alivyoita mwenyewe.
 
[Q[/B]UOTE=Ushirombo;277199]Hahahhah mzee umenena!! Mshikaji anafukuzia kuwa mpiga picha wa raisi ama wa IKULU aweke hizi amwagie kitumbua mchanga?[/QUOTE]

Michuzi hawezi kuweka hizi picha kwenye site yake yeye anataka awe jirani na mkubwa, kutana nae siku mmoaja usikie anavyomsifia JK utavikiri ni ancle wake.
 
Mtanzania unajua maana ya blog ya jamii?
Hebu angalia blog yake inasema nini leo
MFADHILI WA BLOG YA JAMII AFUNGUA DUKA JIPYA

Hao watoto wanaosoma kwenye mabanda ya kuku pia ni jamii

Unasema blog yake ni kwa ajili ya celebreties toka lini?


Ona hapa blog inayohusika na haya mambo unayosema
http://bongocelebrity.com/

Darwin,

Sijui wewe lakini mimi niligundua toka mwaka jana au juzi kwamba blog ya Michuzi ni ya celebrities. Mambo ya jamii ni marketing jargon tu.

Alichofanya yeye ni kitu kwenye marketing kinaitwa positioning na naona kafanikiwa sana.

Bahati mbaya mimi sio celebrity kwahiyo blogs za akina Michuzi naona hazinifai.

Naona blog ya Mjengwa inafaa zaidi.

Siku moja moja nikipata muda huwa natembelea kwa Michuzi kuangalia watoto wanavyopendeza kwi kwi kwi!!!
 
Darwin,

Sijui wewe lakini mimi niligundua toka mwaka jana au juzi kwamba blog ya Michuzi ni ya celebrities. Mambo ya jamii ni marketing jargon tu.

Alichofanya yeye ni kitu kwenye marketing kinaitwa positioning na naona kafanikiwa sana.

Bahati mbaya mimi sio celebrity kwahiyo blogs za akina Michuzi naona hazinifai.

Naona blog ya Mjengwa inafaa zaidi.

Siku moja moja nikipata muda huwa natembelea kwa Michuzi kuangalia watoto wanavyopendeza kwi kwi kwi!!!

Mtanzania,

Hapana kaka michuzi anajitahidi ktk kutufikishia ujumbe wana jamii kwa njia ya picha, kuna mapungufu ya hapa na pale lakini mazuri yana outweigh mapungufu yote.

Nadhani la muhimu ni kumtia moyo na kumshauri apunguze mambo ya kuifanya blog kama photo album ya familia za walio majuu maana kila ukifungua birthday sijui ya ankal nani sijui aunt nani sometimes inaboa we..
 
Mtanzania,


Nadhani la muhimu ni kumtia moyo na kumshauri apunguze mambo ya kuifanya blog kama photo album ya familia za walio majuu maana kila ukifungua birthday sijui ya ankal nani sijui aunt nani sometimes inaboa we..
:D :D

chee%20048.jpg
 
Last edited:
Jamani kwa bahati mbaya sijawahi kuingia kwenye blogu ya Michuzi hivyo siwezi kusema lolote. Siku zote nawahurumia hawa wanakijiji walio katika dhiki.
Wao siku zote wanapelekewa mabango ya kuwapa matumaini mwisho wa miaka, mitamo, mitano, na baada ya hapo wanabaki na kilio kile kile. Wakiuliza wanaambiwa maisha bora hayaji hivi hivi. Je mbona hatuambiwi hivi wakati wa kuomba
kula?
Cha ajabu bendera ya chama fulani iko kule lakini hata ukiwauliza Rais wa nchi hii wanasema ni Nyerere.!
 
ukiwauliza Rais wa nchi hii wanasema ni Nyerere.!

Usisahau kwamba IQ pia ina-matter. Watu kama bado mwaka 2008 wanadhani Nyerere ni mzima (achilia mbali kwamba ni rais) basi lazima utilie mashaka IQ yao. Watu wa namna hii hawawezi kamwe kuendela hata uwajengee shule za kisasa za vyuma na vioo na kila mwanafunzi apewe MacBook Pro.
 
Usisahau kwamba IQ pia ina-matter. Watu kama bado mwaka 2008 wanadhani Nyerere ni mzima (achilia mbali kwamba ni rais) basi lazima utilie mashaka IQ yao. Watu wa namna hii hawawezi kamwe kuendela hata uwajengee shule za kisasa za vyuma na vioo na kila mwanafunzi apewe MacBook Pro.

Really....?
 
Usisahau kwamba IQ pia ina-matter. Watu kama bado mwaka 2008 wanadhani Nyerere ni mzima (achilia mbali kwamba ni rais) basi lazima utilie mashaka IQ yao. Watu wa namna hii hawawezi kamwe kuendela hata uwajengee shule za kisasa za vyuma na vioo na kila mwanafunzi apewe MacBook Pro.

Gee, say what!? IQ

Ni miaka ya juzijuzi tu ukiwaambia wamarekani neno Tanzania hawajui unazungumzia nini.

Usije ukaniambia hapa kwamba wamarekani IQ ina matter

Sijui kwamba Tanzania ya leo kuna watanzania hawajui kwamba Nyerere yu hai au la.

Kama mpaka leo kuna watanzania hawajui kwamba Nyerere yu hai au la basi
Serikali imefeli kwa kiasi kikubwa.
 
Usisahau kwamba IQ pia ina-matter. Watu kama bado mwaka 2008 wanadhani Nyerere ni mzima (achilia mbali kwamba ni rais) basi lazima utilie mashaka IQ yao. Watu wa namna hii hawawezi kamwe kuendela hata uwajengee shule za kisasa za vyuma na vioo na kila mwanafunzi apewe MacBook Pro.
Njabu IQ ya watu inakujaje? Ya kwako ilipatikanaje Mr/miss/mrs Njabu?
 
Usisahau kwamba IQ pia ina-matter. Watu kama bado mwaka 2008 wanadhani Nyerere ni mzima (achilia mbali kwamba ni rais) basi lazima utilie mashaka IQ yao. Watu wa namna hii hawawezi kamwe kuendela hata uwajengee shule za kisasa za vyuma na vioo na kila mwanafunzi apewe MacBook Pro.

Kwani IQ inategemewa kupima upatikaji wa taarifa mzee? Kwanza kabisa kutumia kipimo cha IQ kujaribu kuelezea Intelligence ya mtu ni upotoshaji. Kuna mental ability nyingi ambazo hizi test haziwezi kuzipima. As a matter of fact these tests which are based on false assumptions have been shown to be the basis for various prejudices, especially scientific. The so called Scientific Racism. Naona wewe unaelekea kwenye Political racism usipokuwa mwangalifu.
 
Back
Top Bottom