Wanandoa wengi wanabakana..

Asante kwa ushauri!

pole uda'a..naona umeteseka sana na ndoa ndoana uliyopo...pse karibu huku-niliko upate japo pozeo la moyo wako...sio kweli kwamba midume yote chini ya jua ni mibakaji kama ulekuwanaye anayekutoa chozi mtoto mzuri kama wewe...pole sana baby uda'a...

nisingependa kuona unatokwa na chozi hata tone moja zaidi ya hilo linalodondoka pichani.. tafadhali dear uda'a go get ur lovely smile.. i know smile kama lile la siku ya harusi yako bado lipo..pse come-on uda'a.. smile for me dear..smileee pleaseee
 
nimepata tabu kukuelewa,but thanks nimekupata in the end...
mapenzi ya kubakana yana raha yake sema isiwe routine,nayo yatachosha once in a while tumia nguvu kupata haki yako Pdidy...some of us women,,,love it!:dance:
 
Pengine waweza kuwa mmoja wapo pasipo kujua
ndugu rafiki najua si kila mtu anaependa kufikwa na yanayowakuta wanandoa wa sasa..najua kuna wakat mkiwa marafiki mlihisi mnaitaji dunia kumalizika jinsi upendo wenu ulivyokuwa imara lakini gafla na wengine hata mwezi awachukui mmoja wenu akaanza kujidhihirisha ni nani na kutoa yale yaliyoko mimoyoni mwake..nasema mimoyoni maana wakiwa kama gf na bf walikuwa wanatoa mapenzi yao moyoni so nahisi wanapojionyesha wazi wanaitoa mijimoyoni mwao......

Ni lazima tujue nini maana ya kubakana....kubakwa ni kutoa hitaji kwa mwenzio bila wewe binafsi kuridhia na hili kama amko kisheria ni swala linalokufikisha kuzeekea karibu na keko ama segerea..kinachotofautisha hapa ndoa nyingi kutokana na matatiizo humo ndani wamefika wakati hata baba akitaka kula tunda anasubiri mama akiwa na taulo la kwenda kuogea ahapohapo analazimisha..lakini ni ...akipoteza taiming anaweza kulisikia tunda kwenye redio za clouds..maisha haya yamekuwa yakusikitisha sana sana wanandoa wengi wanaingia kwenye tendo la ndoa pasipo na furaha..nikiwa na mtaalamu mmoja wa uzazi aliniambia ndoa nyingi haata kukosa watoto zinatokana na matatizo yaliopo humo ndani..akasema unajua mdogo wangu zile sperms kuweza kuwa na nguvu za kutosheleza kutoa mtoto aziitaji uwe umekwazika nakwambia mtalala mpaka dunia iishe na kila mkienda hospital mnakuta wazima...akashauri ni vyema kamammejipanga kutafuta mtoto mjitayarishe kweli kweli..nasema hivi maana najua wajua kwamba mungu awezi kumleta mtoto dunian kuja kuteseka hata kidogo nakwambia hata uwe na shahwa kama za bata kama mungu anajua huyyo mtoto mnaemleta atataabika na kwambia utaishia kufanya mazoezi kula kila aina ya chakula....

Ushauri ifike sasa wanandoa kabla ya kuoa ama kuolewa juen kusudi lenu nini na kama ni mtoto tu kwanini mkapeane shida kwenye ndoa..nafikiri ni vyema muamue kuwa moto ama baridi kama uko tayari kwa ndoa good oa ama olewa muishii kwa upendo na amani lakini kama amko tayari na mmoja wenu lengo ni toto loh bora uamue moja

nawatakia ndoa njema kwa wale waliodhamiria kuingia kwenye ndoa

Wengine bwana, kulingana na utamaduni fulani TZ, hakupi mpaka utumie nguvu fulani. Nadhani lazima elimu hii isambae ili kutokuwepo kubakana kuendane na kuridhia kutoa kwa hiari mzigo. Kama sivyo kubakana kutazidi kushamili na ndo chanzo cha HIV and Aids
 
nimepata tabu kukuelewa,but thanks nimekupata in the end...
mapenzi ya kubakana yana raha yake sema isiwe routine,nayo yatachosha once in a while tumia nguvu kupata haki yako Pdidy...some of us women,,,love it!:dance:

appreciated
 
Back
Top Bottom