Wanandoa wanaotembea nje ya ndoa zao (wanaume 70% & wanawake 60%)

Jethro

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
2,220
370
Wana JF,

Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?

My Take:

Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
 
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....

kama walikosa kazi ya kufanya........

nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa
 
Wana JF,

Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?

My Take:

Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
kuna elements za ukweli na hii ni outcome ya moral degradation inayotokana na mfumo mzima tunaoishi nao... si ndoa tu, uadilifu haupo kwenye nyumba za ibada, makazini, kwenye biashara na hata ndani ya familia (mambo ya kawaida tu)

Umaskini na umbumbumbu pia huchangia hali tuliyopo

IN SHORT I WOULD SAY, TANZANIA IS A FRUSTRATED SOCIETY
 
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....

kama walikosa kazi ya kufanya........

nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa

The Boss!!!!

Khaaaaa ndugu hata leo siku ya Jpili twaongelea mambo ya kifamy wewe ume komaaaa tu kwenye mambo ya uongozi which means Politics ina ku affect kiasigani siju,

We just give us your opinion hapo usitupleke huko kwenye tofauti uzizaniazo,
Au wewe mwambatao anatoka nje au wewe ndie super star wa kula shambaz huko nje???
 
Wana JF,

Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?

My Take:

Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.

Personally nakubaliana na utafiti huo.... ila kwa wanawake wamezidisha na kwa wanaume wamepunguza hizo asilimia....
 
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....

kama walikosa kazi ya kufanya........

nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa


The Boss tukiangalia familia na vile tulivozzoea responsibilities za hizo familia na ile misingia ambayo wanafamilia (kelekeza kwa watoto) inavotakiwa iendeshwe... inakuta kua NDOA ndio institution ambayo inabeba misingi yoote ya maadili... iwe socially, economically ama culturally - naona kuporomoka kwa morals ndani ya ndoa inachangia saaana kuporomoka kwa morals hata katika jamii - hata level ya Uongozi..
 


The Boss!!!!

Khaaaaa ndugu hata leo siku ya Jpili twaongelea mambo ya kifamy wewe ume komaaaa tu kwenye mambo ya uongozi which means Politics ina ku affect kiasigani siju,

We just give us your opinion hapo usitupleke huko kwenye tofauti uzizaniazo,
Au wewe mwambatao anatoka nje au wewe ndie super star wa kula shambaz huko nje???

Nilicho ongea actually kinahusu moja kwa moja..
ukimsoma mtm hapo juu,tuna tatizo la jamii kwa ujumla ambalo
chanzo ni uongozi mbovu,so unasababisha frustration kwa wananchi..
na mambo kama hayo ya kutoka nje yanaingia humo humo.....

watu wakijipenda wanakuwa na matamanio ya kuwa better people
na kufanya kila jambo kwa mtazamo wa kuwa bora zaidi...and vice versa....
 
kuna elements za ukweli na hii ni outcome ya moral degradation inayotokana na mfumo mzima tunaoishi nao... si ndoa tu, uadilifu haupo kwenye nyumba za ibada, makazini, kwenye biashara na hata ndani ya familia (mambo ya kawaida tu)

Umaskini na umbumbumbu pia huchangia hali tuliyopo

IN SHORT I WOULD SAY, TANZANIA IS A FRUSTRATED SOCIETY

Kwa hiyo ugumu wa maisha wewe wadhani ndio chanzo/au kina accelerate hiyo hali ya kwenda nje ya ndoa take the case in Tanzania society? hapo me ntakubaliana nawe 5% of it but its not the major course

Hata kabla ya Population ya watanzani kuongezeaka zaidi na si Tanzania peke yake hata nchi zilizo endelea still hiyo hali ya watu kutoka nje ya ndoa zao na kula shambaz za njee ilikuwepo na imeongezeka kwa kasi kubwa tu, Hii ni kukosa test kwa Mumeo / mkeo au Girl friend / Boy friend wako au ni tamaaa furani tu za kimwili au kuzoe sana mtu wako muda mrefu unajisikia kwenda kuonja shamba la nje
 
Nilicho ongea actually kinahusu moja kwa moja..
ukimsoma mtm hapo juu,tuna tatizo la jamii kwa ujumla ambalo
chanzo ni uongozi mbovu,so unasababisha frustration kwa wananchi..
na mambo kama hayo ya kutoka nje yanaingia humo humo.....

watu wakijipenda wanakuwa na matamanio ya kuwa better people
na kufanya kila jambo kwa mtazamo wa kuwa bora zaidi...and vice versa....

The Boss!!!!!

Kweli wataka kuniambia kuwa na serikali legelege na viongozi dhaifu kuna leta haya yote kweli in simple explanation???? i totally doubt about it bro!

watu wakijipenda wanakuwa na matamanio ya kuwa better people
na kufanya kila jambo kwa mtazamo wa kuwa bora zaidi...and vice versa
....

Hapo sijakupata vyema hebu megua hiyo sentence kwa kiswahili fasaha zaidi au simple kiswahili i mean



 
Wana JF,

Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?

My Take:

Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.

kuna kaukweli kidogo japo kuna mapungufu. walitakiwa watuambie kwa watu wanaoishi maeneo ya kijijini wanawake asilimia ngapi wanakwapua nje ya ndoa, wanaume asilimia ngapi wanaokwapua nje ya ndoa
then watuambie kwa watu wanaoishi maeneo ya mijini % ngapi wa wanawake na % ngapi ya wanaume.

Binafsi mimi mwenyewe nimeshakwapua wake za watu labda zaidi ya 10 hahaaaaaaaaa!
 
kuna kaukweli kidogo japo kuna mapungufu. walitakiwa watuambie kwa watu wanaoishi maeneo ya kijijini wanawake asilimia ngapi wanakwapua nje ya ndoa, wanaume asilimia ngapi wanaokwapua nje ya ndoa
then watuambie kwa watu wanaoishi maeneo ya mijini % ngapi wa wanawake na % ngapi ya wanaume.

Binafsi mimi mwenyewe nimeshakwapua wake za watu labda zaidi ya 10 hahaaaaaaaaa!

Unatisha mkuuuu ni baraaaaaaaaaaa number of shambazi umezilima ni 10 ama kweli wewe ni pele sio live bali ni CASH
 
The Boss tukiangalia familia na vile tulivozzoea responsibilities za hizo familia na ile misingia ambayo wanafamilia (kelekeza kwa watoto) inavotakiwa iendeshwe... inakuta kua NDOA ndio institution ambayo inabeba misingi yoote ya maadili... iwe socially, economically ama culturally - naona kuporomoka kwa morals ndani ya ndoa inachangia saaana kuporomoka kwa morals hata katika jamii - hata level ya Uongozi..

AshaDi!!
Kwa hiyo maadili ya ndoa zetu ndio nayo ni chachu ya kupelekea wanandoa kwenda nje na ndoa nyingi kuvurugika ina athari sana viongozi wetu wengiwao kutowajibika ipasavyo katika kuhudumia jamii tokana ta mtafaruku katika ndoa zao??
 
Wana JF,

Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?

My Take:

Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.


uchafu wa clouds fm usilete tena humu ndan hata sikumoja mpwa tukijadiliana tunaonekana wote misukule tumelogwa
 
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....

kama walikosa kazi ya kufanya........

nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa

The basic unity of society is family and the foundation of any family is husband and wife. Uovu au matatizo mengi ya jamii huanzia katika hii ngazi ya familia na kuongelea conducts za basic unity ya jamii ni muhimu sana kabla ya kufika huko unakosema mkuu. kumbuka jinsi baba ya mama wana behave kuna determine sana hatima ya maisha ya watoto watakaozaliwa ktk hiyo familia. Suala la kutoka nje ya ndoa ni kubwa sana hasa maeneo ya mjini na linachangiwa na umaskini na tabia binafsi za wanandoa zitokanazo na malezi ktk famili WALIZOTOKA
 
any way kikubwa tukumbuke tulipoanguka tukatubu na tumkabidhi maisha yetu Mwenyezi Mungu yote haya tutayakwepa lakini tusipo badilika tunaangamia kwa ukimwi hakuna atakaye baki
 
Kama wanawake wamefikia 60% , basi baada ya miaka 10 watawapiku wanaume sababu dada zetu
wa saivi sio , heshima ya mwanamke katika level ya maadili inaporomoka kabisa
 
The Boss tukiangalia familia na vile tulivozzoea responsibilities za hizo familia na ile misingia ambayo wanafamilia (kelekeza kwa watoto) inavotakiwa iendeshwe... inakuta kua NDOA ndio institution ambayo inabeba misingi yoote ya maadili... iwe socially, economically ama culturally - naona kuporomoka kwa morals ndani ya ndoa inachangia saaana kuporomoka kwa morals hata katika jamii - hata level ya Uongozi..

bila ya kumsujudia Muumba hapa hatuwezi kujikwamua.............
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom