Kweli watu wanatofautiana,nilishaambiwa usiponikumbatia sipati usingizi we nikumbatie tu nikisinzia basi unaweza kuniachia kama unaona nakukera,na kila nikijaribu kugeuka kabla hajasinzia naulizwa mbona umeniachia bwana.....
in other words you are telling us that ,you are not married heh?.Sipendi kulala na mtu, sipendi kulala nimekumbatiwa maana nahisi kubanwa. (sijui itakuwaje). Lol!
Ngoja wenye ndoa watupe mauzoefu.
Halafu anarusha mateke huyu, yaani it will take time hadi azoee kulala responsibly!
Eti nasikia nyie mlishatengana vitanda siku nyingi, ni kweli?
Umri wako unakuruhusu . . .
he he he, tumeungana na aradaiti sasa hivi.
Sema usiku utadhani kuna simba kwa kukoroma, kama uana ear plug naomba ntakuwa kiziwi.
My sweetie Kaunga acha kunisema,mbona sijasema kuwa unatoaga kaushuzi ukishapitiwa na usingizi?
Sipendi kulala na mtu, sipendi kulala nimekumbatiwa maana nahisi kubanwa. (sijui itakuwaje). Lol!
Ngoja wenye ndoa watupe mauzoefu.