Ni masuala ya kisaikolojia zaidi. Kwa kawaida tunavutiwa na watu wanaofanana nasi au wanaofanana na wale wanaotuzunguka katika familia yetu: dada, mama, kaka, baba, nk. Na mara nyingi hawa wanafamilia zetu ni watu tunaofanana nao hata kwa sura. Kumbe hata katika mahusiano na watu wa nje (wenzi) tunakuwa na mwelekeo wa kuvutiwa na wanaotufanana au wale wanaofanana na wanafamilia zetu; ambao nao kwa kawaida wanatufanana kwa sababu ya uhusiano wa kinasaba. Ndo mana unakuta mume na mke mara nyingine wanafanana kwa sura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.