Wanandoa kufanana kwa sura.

Labda ndio ile kitu inasemwa kuwa wanaungana na kuwa mwili mmoja.Maana wanasayansi wanatuambia hivi tulivyo ni matokeo ya kile tunachokula, tunachofikiri na tunavyofanya/fikia maamuzi. So kama wanashare kila katika hivi wanaweza kufanana. Mwenye taarifa za ndani anawea kutujuza mengi zaidi!
Sasa nawapa sababu ya kibiologia, kwenye macho kuna lens ambayo uchukua picha ya mtu na kuipeleka kwenye cell DNA sehemu inayoitwa allele (Locus), kwa vile mwili uumbwa kila siku, hivyo basi sehemu ya nje ya mwili inapoondolewa uja sura ya ndani yenye sura ya huyo uliyemuangalia kwa kuda mrefu,
 
50 years of marriage? that's great by any standards... kufanana is just a myth, i guess


If you guess, don't say it!. It means you know nothing. The matter under discussion is true and a proven fact. So why come up with guesswork on the contrary. I repeat if you know nothing, don’t give an answer to it. It shows you are never serious in your undertakings. yakety-yak! No pun intended

We are lucky and extremely lucky to live in a current generation; where all the information one needs, is instantly acquired. You can learn anything, any language, any art just because of internet. Now this forum being of Great Thinkers, should never be discredited by utterances that contradict it!
 
The most credible hypothesis ni kuwa unapokua toka utotoni mpaka unafikia utu uzima the most women you know most is your mother and ur sisters. So standard yako ya kupima uzuri wa mwanamke ni dada zako au mama yako! your likely to choose a woman who looks like your sisters kuliko vinginevyo! Mtu anayefanana na dada zako lazima afanane na wewe.

Nilipo mtambulisha mchumba wangu nyumbani mara ya kwanza mama yangu aliniambia ''she look like my daughters"
 
Hiyo kitu ni kweli, kuna mama mmoja aliolewa na mlemavu wa miguu ghafla na miguu yake ikaanza kulemaa mdogo mdogo sana na yeye yupo chini hawezi tena kutembea teh teh teh.
 
possible answer: frequent and long term exchange of genes during sexual intercourse may be the reason
 
ni juzi tu baba na mama yangu wameadhimisha miaka 50 ya ndoa yao.Moja ya vitu vyenye kuvutia,ni pale unapoangalia wawili hawa katika uzee wao wenye siha wanvyofanana kwa sura.Ninngependa kuuliza wanajamvi ,huku kufanana kwa wanandoa kunasababishwa na nini.Kwa kumbukumbu ya picha zilizopo,inaonekana kipindi wanaoana kila mmoja alikuwa na sura yake,lakini umri unavyokwenda sura zinashahabiana.Kwanini?
Miaka 50? wewe ubabu na ubibi wao umekuchanganya sana thats why waona wanafanana coz hata yale mapengo ya baba yako huna tym nayo. anyway kwa wapemba si kitu cha ajabu coz wao wanaoana kaka na dada yaani kwa mjomba na kwa shangazi. mfano mzuri ni Dr. shein na mkewe ana amai karume na mkewe!
 
The most credible hypothesis ni kuwa unapokua toka utotoni mpaka unafikia utu uzima the most women you know most is your mother and ur sisters. So standard yako ya kupima uzuri wa mwanamke ni dada zako au mama yako! your likely to choose a woman who looks like your sisters kuliko vinginevyo! Mtu anayefanana na dada zako lazima afanane na wewe.

Nilipo mtambulisha mchumba wangu nyumbani mara ya kwanza mama yangu aliniambia ''she look like my daughters"

i can buy this,there z no biological proof. Mchumba wangu nilikuwa nahitaji awe more beatiful than my sisters. Nikampata,siku moja tukiwa sehemu tunakula kuna mama jirani yetu akatuuliza,nyie ni ndugu? Ili kupotezea nikamjibu ndio. Nilipomtambulisha kwa mmoja wa dada zangu akaniambia,nahisi mmetafutana ndugu. Nilipomuuliza kwa nini,akaniambia mbona anafanana na dada zetu? Ulizia vizuri ukoo wao yawezekana kuna baba yetu alizaa mtoto akamtelekeza. Nimekukubali aisee!
 
possible answer: frequent and long term exchange of genes during sexual intercourse may be the reason

you have to know there are biologists,doctors and chemists here. Usitoe hoja kama unafundisha biology form one wasiojua kusoma.
 
ni juzi tu baba na mama yangu wameadhimisha miaka 50 ya ndoa yao.Moja ya vitu vyenye kuvutia,ni pale unapoangalia wawili hawa katika uzee wao wenye siha wanvyofanana kwa sura.Ninngependa kuuliza wanajamvi ,huku kufanana kwa wanandoa kunasababishwa na nini.Kwa kumbukumbu ya picha zilizopo,inaonekana kipindi wanaoana kila mmoja alikuwa na sura yake,lakini umri unavyokwenda sura zinashahabiana.Kwanini?

Majibu ya swali lako yanapatikana kwenye hii link hapa chini:

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/160484-mabinti-hawa-huolewa-na-baba-zao.html
 
Sio wanandoa tu, hata wapenzi na marafiki wakiwa pamoja muda mrefu hufanana.
Sio kwa Binadamu tuu hata vtu na wanyama wakiwa pamoja muda mrefu kwa wewe unaeviona huwa unaona vina fanana kabisa. babu yangu alikuwa na gari aina ya Anglia kakaa nayo toka tunapata akili mpaka na sie tumeanza kutafuta zetu. Alipofariki tukawa tunaiona gari kama yeye mwenyewe kabisa. Jamani hamuezi kuamini.
 
Back
Top Bottom