DCASHDOLLAR
Member
- Apr 4, 2011
- 8
- 0
Wana FJ.
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa ndiyo na ugomvi unaisha hata kama lilikuwa la kupelekana kwa wazazi. kuna ukweli hapo? Thanks
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa ndiyo na ugomvi unaisha hata kama lilikuwa la kupelekana kwa wazazi. kuna ukweli hapo? Thanks