Wanandoa hii ni kweli

DCASHDOLLAR

Member
Apr 4, 2011
8
0
Wana FJ.
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa ndiyo na ugomvi unaisha hata kama lilikuwa la kupelekana kwa wazazi. kuna ukweli hapo? Thanks
 
Wana FJ.
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa ndiyo na ugomvi unaisha hata kama lilikuwa la kupelekana kwa wazazi. kuna ukweli hapo? Thanks


Naona umekosea jukwaa mkuu
 
Wana FJ.
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa ndiyo na ugomvi unaisha hata kama lilikuwa la kupelekana kwa wazazi. kuna ukweli hapo? Thanks

Peleka MMU Mkuu
 
Kijana naona umekurupuka tu,na kupost mambo bila ya kuangalia uwanja...hapa sio mahala pake MGENI....karibu jamiiforums,taratibu utalizoea jukwaa
 
ngoja nitoke kama wengine, nitarudi badae kujua what next!!
 
Hana adabu huyu.ht kubisha hodi hajabisha!! ashaingia mpk masta room
 
Wana FJ.
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa ndiyo na ugomvi unaisha hata kama lilikuwa la kupelekana kwa wazazi. kuna ukweli hapo? Thanks

wewe umeoa dogo?
 
Achana na ile kitu bwana mkuba, watu wanawatukana hadi wazazi wao pale. ila pamoja na hiyo ulimi wa mke unaweza mfanya mume ahairishe ugomvi
 
ni kweli. Kwa kiasi kikubwa migogoro humalizwa na ngono. Kisha kusameheana na kuonyana
 
Back
Top Bottom