kutokana na kauli yake ya kuwataka wananchi wasiudhurie maandamano ya chadema kwani yanaatarisha amani maelfu ya wananchi wamejitokeza kuhudhuria maandamano hayo na hii inaonyesha wazi kuwa JK amepoteza mvuto wa kisiasa na somo wanalolitoa chadema linaonekana kukubalika zaidi.