Wananch wa Bagamoyo eneo la Mapinga Wamevamia Shamba la Nabii na Mtume Josephati Mwingira. Juzi Mwingira alikwenda huko akiwa na walinzi wa Kimasai walioambatana Na Mabounce na kuendesha operation ya kuwaondoa kwa nguvu wananchi hao na kuzua mapigano makali ambapo leo kuna kikao cha ulinzi na usalama kujadili suala hilo kinachofanyika shule ya Sekondari ya Lord baden MEMORIAL SCHOOL inayomilikiwa na Col Kipingu.
Mgogoro huo unasululishwa na Polisi Bagamayo na polis DSM na watendaji wa Serikali. Hii ni mara ya pili kwa Mwingira kuvamiwa ambapo kule Sumbuwanga anamiliki shamba zaidi ya ekar 500 alilouziwa Tshs 600m na wananchi wanapinga.
Mgogoro huo unasululishwa na Polisi Bagamayo na polis DSM na watendaji wa Serikali. Hii ni mara ya pili kwa Mwingira kuvamiwa ambapo kule Sumbuwanga anamiliki shamba zaidi ya ekar 500 alilouziwa Tshs 600m na wananchi wanapinga.