Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
Waislamu wenye siasa kali ni watu hatari,
Hamna watu wa usalama duniani kama Waislamu.
usikubali kudanganywa na propaganda za wazungu.
nyie wenyewe mashahidi (mnaishi na waislamu hapa Tanzania kwa usalama kabisa)