Kipre tchetche
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 238
- 40
Kushambuliwa na kuuawa waumini katika
nyumba za ibada kwa mabomu na
vikundi vya kiislamu vyenye misimamo
mikali si vya kuvumilia Tena .wameshambulia
wakristo wa Iraki wakauwawa siku chache
kabla ya xmass .Leo usiku boko haramu
wameshambulia waumini wakiwa kwenye
ibada ya kuaga na kupokea mwaka mpya
usiku wa Leo pia waumini wa kikristo
huko cairo misri wameshambuliwa na kuuawa
zaidi ya watu 22 kwa bomu kanisani
mbona Amani ya dunia inaharibiwa na vikundi
vinavyofahamika mbona sioni mikakati
ya kuvidhibiti? Au ninyi wenzangu mnaona
Hali hii ni yakunyamazia? Nawakilisha.
nyumba za ibada kwa mabomu na
vikundi vya kiislamu vyenye misimamo
mikali si vya kuvumilia Tena .wameshambulia
wakristo wa Iraki wakauwawa siku chache
kabla ya xmass .Leo usiku boko haramu
wameshambulia waumini wakiwa kwenye
ibada ya kuaga na kupokea mwaka mpya
usiku wa Leo pia waumini wa kikristo
huko cairo misri wameshambuliwa na kuuawa
zaidi ya watu 22 kwa bomu kanisani
mbona Amani ya dunia inaharibiwa na vikundi
vinavyofahamika mbona sioni mikakati
ya kuvidhibiti? Au ninyi wenzangu mnaona
Hali hii ni yakunyamazia? Nawakilisha.