Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Kichwa Ngumu,
Unaweza kutuambia hizo pesa za Mzee Sabodo, zimejenga visima vya maji vingapi?
Visima 400.
Uliza swali lingine
Kichwa Ngumu,
Unaweza kutuambia hizo pesa za Mzee Sabodo, zimejenga visima vya maji vingapi?
Mkuu huyu jamaa ni kichwa umiza, namfananisha na kunguni
Wanabodi.
Mzee Sabodo akitoa hundi kwa viongozi wa Chadema, wananchi wanahoji hizo pesa anazotoa Mzee Sabodo mpaka sasa hivi zimeishafanya kazi gani katika chama, au zimeelekezwa katika miradi gani wananchi wanaomba mchanganuo wa hizo pesa ili wafadhili wengine wajitolee kuchangia chama.
Mkuu Ritz
Mchanganuo anaujua Mbowe, Dr. Slaa na mweka hazina mzee Mtei; ukitaka kufukuzwa Chadema ulizia mchanganuo wa pesa
wewe ulizia M4C wapi watakupa majibu lakini kwenye pesa sahau
Chama
Gongo la mboto DSM
Hao wananchi ni akina nani? Je hao the so called wananchi hizo hela zinawahusu kweli? Binafsi naona hizo hela haziwahusu hao wananchi ambao nadhani ni wewe. Kama wanataka hela zinazowahusu wamfuate sabodo wamwombe awape. Hizo za CDM ni za kuimarisha chama chao. Waulizane wenyewe (CDM)kama hazitafanya hivyo. So sie wengine tukae kimya hazituhusu na tuache wivu.
Mkuu Chadema ni kampuni ya watu binafsi au chama cha siasa? Kama hutaki Chadema wahojiwe basi sio chama ni kampuni binafsi.
Mkuu chama,
Ebu angalia hizi picha kwa umakini utamuona Dr Slaa na Mbowe wanacheka huku wakipokea hundi kutoka Mzee Sabodo.
Jiulize kwa nini hawakumtuma Mkurugenzi wa Fedha wa Chadema au Lema kwenda kuchukuwa hizo hundi.
Mpaka sasa hakuna hata kisima kimoja cha maji ambacho kimejengwa.
Hana ujanja hapo, amebanwa anacheka cheka tu...naona ni wanasheria watupu hapo, wakati yeye hata askari wake kafukuzwaHebu tuanze kumuhoji huyu jamaa yako, ni kwa nini amezungukwa na Wazungu tupu na hakuna hata mswahili mmoja? yaani mtu anauza nchi kama ya kwake !? Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!
View attachment 67620
weee umeona leo itv ccm wakipigana kwa ajili ya uchaguzi musoma kawaulize ni kwa nini wamekula posho ya kikao halafu wao wanapigana badala ya kufanya waliotumwa ....wamekula kodi yetu kama ruzuku japo wewe hujui paye kwa vile payrol yako ni ya mfukoni kwa nanihiii
Mkuu kama CCM wanagombania posho za uchaguzi, Chadema nao wanapata Excuse ya kutafuna mamilioni ya Mzee Sabodo.
kwani wapi ulisikia cdm wametafuna mzee katoa sio kwa cdm tu hata ccm wamepewa ungekuwa wa maana ungesema mzee katoa kiasi hichi kwa ccm wakafanya hichi halafu useme cdm wamehonga ningekuelewa
nenda musoma na dar na moro ujue kiasi cha posho kimechezewa
Mkuu kama CCM wanagombania posho za uchaguzi, Chadema nao wanapata Excuse ya kutafuna mamilioni ya Mzee Sabodo.
Wanabodi.
Mzee Sabodo akitoa hundi kwa viongozi wa Chadema, wananchi wanahoji hizo pesa anazotoa Mzee Sabodo mpaka sasa hivi zimeishafanya kazi gani katika chama, au zimeelekezwa katika miradi gani wananchi wanaomba mchanganuo wa hizo pesa ili wafadhili wengine wajitolee kuchangia chama.
Mkuu Ritz,hundi za Sabodo ni MoU kati ya wahindi na CDM hivi umeshawahi kusikia wakiwatuhumu hawa jamaa kwa ufisadi? mafisadi wanaowaona wao ni wenzetu tu wenye asili ya kimatumbi ma makabila mengine kwa wahindi ni haki yao kuendelea kutuibia.
Je nani amewahi kuisikia Audited Report ya CHADEMA? Mi nahisi hesabu zao hazipo wanajilia tu kinachopatikana kiundugu yaani kichaga na kisingida singida. Kama sipo right please mnirekebishe maana mi sijasikia mahesabu yao yakimwagwa hadharani na huwa siamini sana sehemu ambayo imejaa wachaga