we mwongo labda ungetaja kina nani wanaotaka mambo hayo kwa sababu na mimi ni mwananchi lkn sijataka
Wanabodi.
Mzee Sabodo akitoa hundi kwa viongozi wa Chadema, wananchi wanahoji hizo pesa anazotoa Mzee Sabodo mpaka sasa hivi zimeishafanya kazi gani katika chama, au zimeelekezwa katika miradi gani wananchi wanaomba mchanganuo wa hizo pesa ili wafadhili wengine wajitolee kuchangia chama.
visima vinavyochimbwa sio vya kienyeji ambacho kinaweza kukamilika kwa siku kumi isitoshe CDM sio drilling co. kwa hiyo kuna mchakato wa tendering ili kupata contractor. upo we kibalaka wa nepiKichwa Ngumu,
Unaweza kutuambia hizo pesa za Mzee Sabodo, zimejenga visima vya maji vingapi?
Wanabodi.
Mzee Sabodo akitoa hundi kwa viongozi wa Chadema, wananchi wanahoji hizo pesa anazotoa Mzee Sabodo mpaka sasa hivi zimeishafanya kazi gani katika chama, au zimeelekezwa katika miradi gani wananchi wanaomba mchanganuo wa hizo pesa ili wafadhili wengine wajitolee kuchangia chama.
visima vinavyochimbwa sio vya kienyeji ambacho kinaweza kukamilika kwa siku kumi isitoshe CDM sio drilling co. kwa hiyo kuna mchakato wa tendering ili kupata contractor. upo we kibalaka wa nepi
Wanabodi,
Wote tuna uchungu na nchi yetu tupambane na ufisadi mbona watanzania humu JF wanahoji kuhusu pesa za EPA, Kagoda, pesa za Uswisi, kwa ni hamtaki wananchi wahoji pesa za Sabodo.[/QTuna haki ya kuhoji pesa za epa,kagoda,pesa za uswisi kwa sababu zinatokana na kodi za wananchi ndio maana kila siku tunapiga kelele safari za Jk kwa sababu anatumia kodi zetu hakuna anayejisumbua na pesa za sabodo kwa sababu ni pesa zake binafsi
Mzee Sabodo kila anapotoa pesa ameelekeza zikafanye nini na kwakuwa pesa ya mzee sabodo siyo kodi ya watanzania mwenye haki ya kuhoji ni sabodo lakini kukurahisishia ni kwamba pesa hizo zinafanya kazi kama alivyoelekeza mfano yule mama aliefiwa na mmewe kwenye maandamano ya chadema kuna check ya mil 5 x 3 walipewa
Wanabodi,
Wote tuna uchungu na nchi yetu tupambane na ufisadi mbona watanzania humu JF wanahoji kuhusu pesa za EPA, Kagoda, pesa za Uswisi, kwa ni hamtaki wananchi wahoji pesa za Sabodo.
Mkuu wewe niite upendavyo wala usihofu, hivyo visima vya kisasa vinachukuwa muda gani mpaka vikamilike? Na vimejengwa sehemu gani mkuu.
Usiumize kichwa kumwelewesha mpumbavu asiyejijua. Namkubali sana Mzee Mwanakijiji kuwa si kila thread ni ya kuchangiaMzee Sabodo kila anapotoa pesa ameelekeza zikafanye nini na kwakuwa pesa ya mzee sabodo siyo kodi ya watanzania mwenye haki ya kuhoji ni sabodo lakini kukurahisishia ni kwamba pesa hizo zinafanya kazi kama alivyoelekeza mfano yule mama aliefiwa na mmewe kwenye maandamano ya chadema kuna check ya mil 5 x 3 walipewa
Kama pesa anatoa Sabodo, mkizitafuna ni marufuku kuhojiwa?