mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
Baada ya kuiona hali halisi ya jiji la Mbeya ambapo wamachinga wamekwaruzana na polisi kwa muda wa masaa 10 tumejifunza kwamba wananchi wakiamua hakuna awezaye kuwazuia.
Vurugu za Mbeya zinaonekana hazikuendeshwa na wamachinga peke yao bali hata wananchi wa kawaida walishiriki kuonesha kutokubaliana na hatua ya wamachinga kufukuzwa katika maeneo yao ya biashara bila kupewa eneo mbadala. Hawa watendaji wanakurupuka kwani walishabomoaga soko la BIGBROTHER usiku na kuwafidia wamachinga wakajenga tena palepale siku hiyo hiyo, hii ni akili au matope?
Vurugu za Mbeya zinaonekana hazikuendeshwa na wamachinga peke yao bali hata wananchi wa kawaida walishiriki kuonesha kutokubaliana na hatua ya wamachinga kufukuzwa katika maeneo yao ya biashara bila kupewa eneo mbadala. Hawa watendaji wanakurupuka kwani walishabomoaga soko la BIGBROTHER usiku na kuwafidia wamachinga wakajenga tena palepale siku hiyo hiyo, hii ni akili au matope?