Ndulungu
Member
- Oct 22, 2011
- 87
- 49
- Thread starter
- #21
lake kikonga mayu, mimi ni rafiki yake mkubwa tangu enzi zile namwandikia notes za History Ilboru 1997. Kwa sasa tumetofautiana kiitikadi kwa kuwa mimi ni CDM ila urafiki bado upo, jamaa anawasiwasi sana na M4C. Si kama nazungumza kishabiki huu ni ukweli kwani namfahamu kwa karibu mno. lindila ukimbwela.
uwe umulimba sana lyina lyako kaku zi yani maguu wilimpii na ntondo izi