Wananchi wa Bunda popote mlipo hivi Wasira aliwapa nini mpaka mkamchagua?

MANGUNGO

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
1,536
352
Nakasirishwa na mzee huyu kwa kulichafua kanisa katoliki,mpaka najiuliza Bunda kulikosekana viongozi safi?nawasirisha.
 
Aliwapa kapero ndo maana wakamchagua. Ujue Bunda ni wilaya ya pili kutoka mwisho kwa umaskini. Yaani kwa maneno mengine ni kuwa kuna wilaya 1 (nimeisahau) inaongoza kwa umaskini TZ ikifuatiwa na Bunda. Huruma!
 
Nakasirishwa na mzee huyu kwa kulichafua kanisa katoliki,mpaka najiuliza Bunda kulikosekana viongozi safi?nawasirisha.

Nikianza na kumbukumbu zangu za mwaka 1995 wananchi wa Bunda walimpenda sana wasira kutokana na kile walichoamini kuwa ndiyo aliyesababisha kuwepo kwa kiwanda cha VILIAN (UNUNUZI WA PAMBA) cha pamba na kwa bunda kwa kweli VILIAN ilikuwa mkombozi wa wanancHi wa bunda kwani vijana wengi walipata ajira na wakulima walipata fedha sana ulikuwa uwaelezi kitu kuhusu vilian(na kaka yake wasira GEORGE WASIRA ndiyo alikuwa manager pale),kwani awali chama cha Ushirika MARA COPERATIVE KILIWAKOPA SANA
CCM TAIFA KWA KULIJUA HILO ikaamua kuligawa jimbo la Bunda na kuanzisha MWIBARA ili imushawishi wasira agombee MWIBARA na WARIOBA AGOMBEE BUNDA MJINI maana ilikuwa na interest na warioba,lakini wasira akakataa akaamua kupambana(hata mimi nilikubaliana nae kwanini asiende MWIBARA takuambia why?).Ngoma ikapigwa uwanjani warioba akashinda kura za maoni CCM,wasira tukamshauri aingiee NCCR(si unajua enzi zile marando na mrema).SITAUSAHAU ULE UCHAGUZI nilikuwa kambi ya wasira ulikuwa mgumu mno(fedha ilitembea vibaya sana) lakini mwisho wa siku wasira akashinda KWA NGUVU YA UMMA maana tulitaka kuchoma BOMANI pale bunda kwa stahili yao ya kuchelewesha matokeo. Tajiri mmoja wa bunda alikuwa kambi ya Warioba(BUNDA BUS) akafyatua risasi kututisha.ILA tu kwa faida ya wana JF,KATIKA kampeni NYERERE alipita pale Bunda wakati anamnadi MKAPA na wasira alikuwepo akasema kuhusu ubunge kuwa wote Joseph na Stephen ni vijana wake lakini HUyu akimsonda wasira amekuja kwangu akanieleza nataka nimngoe Joseph nikamuuliza kwanini? akasema kuwa wananchi wa Bunda awataki mikono mitupu tena ananieleza mimi na nasikia ameanza kuchinja Ngombe,Msimpe kura kura zenu mpe JOSEPH SINDE WARIOBA tulitoka tumenyong'onyea sana lakini tukajipanga na tukamweleza wasira ajibu mapigo na wasira kweli alirudi akasema Mzee anazeeka vibaya na huo ukawa mwanzo wa mahusiano mabovu kati ya mwalimu na wasira.
WANA JF TAENDELEA BAADAYE KUWAJUZA STEP TO STEP KUANZIA ALIVYORUDI CCM,kWANINI BUNDA WALIMCHAGUA TENA MPAKA KWANINI MNAMUONA HIVYO LEO THE FORMER HERO WASSIRA
 
Ama labda kwa vile ana sura mbovu sana kwahyo wakaona wampe ubunge ili kumpoza machungu kama walivyoambiwa wana wa Arumeru ili mwana wa marehemu apozwe machungu yake basi apewe ubunge..teh..teh,teh..Bunda mpo??


Sura kama ya Michelin.
 
Nikianza na kumbukumbu zangu za mwaka 1995 wananchi wa Bunda walimpenda sana wasira kutokana na kile walichoamini kuwa ndiyo aliyesababisha kuwepo kwa kiwanda cha VILIAN (UNUNUZI WA PAMBA) cha pamba na kwa bunda kwa kweli VILIAN ilikuwa mkombozi wa wanancHi wa bunda kwani vijana wengi walipata ajira na wakulima walipata fedha sana ulikuwa uwaelezi kitu kuhusu vilian(na kaka yake wasira GEORGE WASIRA ndiyo alikuwa manager pale),kwani awali chama cha Ushirika MARA COPERATIVE KILIWAKOPA SANA
CCM TAIFA KWA KULIJUA HILO ikaamua kuligawa jimbo la Bunda na kuanzisha MWIBARA ili imushawishi wasira agombee MWIBARA na WARIOBA AGOMBEE BUNDA MJINI maana ilikuwa na interest na warioba,lakini wasira akakataa akaamua kupambana(hata mimi nilikubaliana nae kwanini asiende MWIBARA takuambia why?).Ngoma ikapigwa uwanjani warioba akashinda kura za maoni CCM,wasira tukamshauri aingiee NCCR(si unajua enzi zile marando na mrema).SITAUSAHAU ULE UCHAGUZI nilikuwa kambi ya wasira ulikuwa mgumu mno(fedha ilitembea vibaya sana) lakini mwisho wa siku wasira akashinda KWA NGUVU YA UMMA maana tulitaka kuchoma BOMANI pale bunda kwa stahili yao ya kuchelewesha matokeo. Tajiri mmoja wa bunda alikuwa kambi ya Warioba(BUNDA BUS) akafyatua risasi kututisha.ILA tu kwa faida ya wana JF,KATIKA kampeni NYERERE alipita pale Bunda wakati anamnadi MKAPA na wasira alikuwepo akasema kuhusu ubunge kuwa wote Joseph na Stephen ni vijana wake lakini HUyu akimsonda wasira amekuja kwangu akanieleza nataka nimngoe Joseph nikamuuliza kwanini? akasema kuwa wananchi wa Bunda awataki mikono mitupu tena ananieleza mimi na nasikia ameanza kuchinja Ngombe,Msimpe kura kura zenu mpe JOSEPH SINDE WARIOBA tulitoka tumenyong'onyea sana lakini tukajipanga na tukamweleza wasira ajibu mapigo na wasira kweli alirudi akasema Mzee anazeeka vibaya na huo ukawa mwanzo wa mahusiano mabovu kati ya mwalimu na wasira.
WANA JF TAENDELEA BAADAYE KUWAJUZA STEP TO STEP KUANZIA ALIVYORUDI CCM,kWANINI BUNDA WALIMCHAGUA TENA MPAKA KWANINI MNAMUONA HIVYO LEO THE FORMER HERO WASSIRA

Kwa jinsi unavyojieleza wewew mwenyewe ni hiro
 
Back
Top Bottom