Wakuu,
Leo ifikapo saa nane usiku wa manane wananchi wa arumeru wameazimia kuvamia na kugawana eneo moja hapa Arusha maarufu "kama shamba la kwa singa" ni eneo lililo jirani na mji mdogo wa Tengeru. Nimeenda kuliona eneo hilo mara tu baada ya kupata taarifa hizi kutoka kwa mwananchi mmoja aliye katika mkakati huo leo asb, na baadae nikapata uhakika zaidi nilipoongea na baadhi ya wananchi waliosema pia wamejiandaa vyema kutekeleza mkakati huo!
Source: Wananchi wa arumeru!
Leo ifikapo saa nane usiku wa manane wananchi wa arumeru wameazimia kuvamia na kugawana eneo moja hapa Arusha maarufu "kama shamba la kwa singa" ni eneo lililo jirani na mji mdogo wa Tengeru. Nimeenda kuliona eneo hilo mara tu baada ya kupata taarifa hizi kutoka kwa mwananchi mmoja aliye katika mkakati huo leo asb, na baadae nikapata uhakika zaidi nilipoongea na baadhi ya wananchi waliosema pia wamejiandaa vyema kutekeleza mkakati huo!
Source: Wananchi wa arumeru!