Wananchi tutaendelea kuporwa mpaka lini?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,315
33,111
Jeshi la polisi nchini linatakiwa kuwa imara katika kukabiliana na wahalifu ambao wamekuwa wakiwavamia watu na kuwapora pesa na mali zao, kisha kuwajeruhi kwa vipigo.

HUYU KAKUMBANA NA WAHALIFU HAO
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mkazi huyu wa Kijitonyama ambaye jina lake halikufahamika, alikumbwa na dhahama la vibaka akiwa amejipumzisha barazani mwa nyumba anayoishi ambapo licha ya kumpora simu yake, walimcharanga kwa mapanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom