Wananchi Kweli Tumekuwa Hatufuatilii Maswala Mengi Ndio Sababu CCM Wanaendelea Kutufunga Kamba Shingoni. Uchumi Wowote Ule Hauwezi Kuimprove Kama Hakuna Information Zozote Zile Zinaletwa kwa Wananchi. Ukiangalia Nchi Karibu Zote Zilizoendelea na Zinazoendelea Duniani Wananchi Hasa Academias, Wanahusishwa Katika Discussions Ili Tutatue Matatizo Yanayoikabili Nchi Yetu. Tukiangalia Tanzania Hii Katiba Inafanya Ofisi ya Raisi Ndio Policy Makers na Sio Wananchi, This is Terrible Thing kwa Demokrasia. Haya Maswali Yanayohusu Revenues na Expenses za Nchi Tunaona Serikali ya JK Inaficha Sana Hii ni Kwa Sababu Gani? Mfano Mzuri ni Kiasi Gani TRA Inakusanya na Matumizi ya Fedha za Kodi ni Yapi? Kiasi Gani Nchi Inakopa kwa IMF, World Bank, African Bank, na Donors Wengine? Kiasi Gani Tunalipa Kila Mwaka Katika Haya Madeni. Cha Kushangaza Wapo Wananchi Hawapendezewi na Haya Maswala Ndani ya Serikali Wanakubali Kutishiwa Kufa na Wanakaa Kimya. Wananchi Tutafute Njia ya Kurudisha Nchi Yetu Mikononi Kwetu. Tunazo Nguvu na Sababu za Kufuatilia Kila Jambo.
"Uchumi Wetu Unakufa Kutokana na Sisi Wananchi Kukubali Wachache Wafanye Maamuzi Yetu."
"Uchumi Wetu Unakufa Kutokana na Sisi Wananchi Kukubali Wachache Wafanye Maamuzi Yetu."