Kaka hii nayo ni habari? Mbona kifupi sana na hakieleweki? Yaan thread na contents haziendani hata kidogo!!!! Kama hauna information za uhakika na zinazojitosheleza, siyo lazima kupost, mbona wengine tuna mwezi mzima tunasoma na kuchangia thread za watu tu??? Nimefungua kwa shauku kubwa kweli, kumbe hakuna kitu, au unafikiri wote tuna access na STAR TV?
Star tv habari
JK akiuza ardhi wananchi wazipiga hadi watu wawili kufa