Wananchi Morogoro walivyoanika udhaifu wa serikali ya CCM

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
Katibu%2BMkuu%2Bwa%2BBAVICHA%2BDeogratias%2BMunishi%2Bakionyeshwa%2Bmadarasa%2Bya%2BShule%2Bya%2BMsingi%2BSingisa.%2BHii%2Bni%2Bshule%2Bpekee%2Bya%2Bkatika%2Bkijiji%2Bhiki%2Bambacho%2Bni%2Bmakao%2Bmakuu%2Bya%2Btarafa%2Bna%2Bkata%2Bya%2BSingisa.JPG


Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi akionyeshwa madarasa ya Shule ya Msingi Singisa. Hii ni shule pekee ya katika kijiji hiki ambacho ni makao makuu ya tarafa na kata ya Singisa

CDFDFDFDF.JPG


Ofisi ya Kijiji na Kata ya SINGISA Jimbo la Morogoro Kusini Katika Taswira.
 
Katibu%2BMkuu%2Bwa%2BBAVICHA%2BDeogratias%2BMunishi%2Bakionyeshwa%2Bsehemu%2Bya%2Bvyoo%2Bvya%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bya%2BSINGISFDFDFDA.JPG


Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi akionyeshwa sehemu ya vyoo vya wanafunzi wa shule ya SINGISA

Katibu%2BMkuu%2Bwa%2BBAVICHA%252C%2BDeogratias%2BMunishi%2Bakiwa%2Bna%2Bwanakijiji%2Bwa%2BSINGISA%2Bjimbo%2Bla%2BMorogoro%2BKusini%2Bkatika%2Bofisi%2Bya%2BmwalimSCDXVFDFDu%2Bwa%2Bshule%2Bhiyo.JPG


Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deogratias Munishi akiwa na wanakijiji wa SINGISA jimbo la Morogoro Kusini katika ofisi ya mwalimu wa shule hiyo



Operesheni Sangara zinazoendelea Morogoro bado zimeendelea kuwa chachu ya kuimarisha CHADEMA katika kila vijiji wanavyofikia. Picha hizi ni katika kijiji ambacho hakuna zahanati na kina shule moja tu ya Msingi yenye wanafunzi 398 na Mwalimu mmoja tu!!Wanafunzi wote wanakaa chini.

Kijiji hiki ifahamike ndicho pia makao makuu ya tarafa na kata ya Singisa.(Kata ya Singisa ina vijiji 7). Makao Makuu ya Kata ndipo pia mwisho wa barabara, hivyo vijiji vingine sita havifikiki na vimetengwa kabisa kimawasiliano.
Moja ya lalamiko kubwa la wananchi, wamekuwa wakichangishwa michango isiyo na idadi na serikali ya kijii huku wakiwa hawasomewi mapato na matumizi. Baada ya elimu hasa ya uraia na umuhimu wa haki yao hiyo iliyotolewa na CHADEMA, wanakijiji wameapa ndani ya wiki mbili wataitisha mkutano wa kijiji na kuwatimua madarakani viongozi wa kijiji baada ya kuenda kinyume na taratibu za kuendesha serikali ya kijiji.
 
Katibu%2BMkuu%2Bwa%2BBAVICHA%2BDeogratias%2BMunishi%2Bakionyeshwa%2Bsehemu%2Bya%2Bvyoo%2Bvya%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bya%2BSINGISFDFDFDA.JPG


Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi akionyeshwa sehemu ya vyoo vya wanafunzi wa shule ya SINGISA

Katibu%2BMkuu%2Bwa%2BBAVICHA%252C%2BDeogratias%2BMunishi%2Bakiwa%2Bna%2Bwanakijiji%2Bwa%2BSINGISA%2Bjimbo%2Bla%2BMorogoro%2BKusini%2Bkatika%2Bofisi%2Bya%2BmwalimSCDXVFDFDu%2Bwa%2Bshule%2Bhiyo.JPG


Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deogratias Munishi akiwa na wanakijiji wa SINGISA jimbo la Morogoro Kusini katika ofisi ya mwalimu wa shule hiyo



Operesheni Sangara zinazoendelea Morogoro bado zimeendelea kuwa chachu ya kuimarisha CHADEMA katika kila vijiji wanavyofikia. Picha hizi ni katika kijiji ambacho hakuna zahanati na kina shule moja tu ya Msingi yenye wanafunzi 398 na Mwalimu mmoja tu!!Wanafunzi wote wanakaa chini.

Kijiji hiki ifahamike ndicho pia makao makuu ya tarafa na kata ya Singisa.(Kata ya Singisa ina vijiji 7). Makao Makuu ya Kata ndipo pia mwisho wa barabara, hivyo vijiji vingine sita havifikiki na vimetengwa kabisa kimawasiliano.
Moja ya lalamiko kubwa la wananchi, wamekuwa wakichangishwa michango isiyo na idadi na serikali ya kijii huku wakiwa hawasomewi mapato na matumizi. Baada ya elimu hasa ya uraia na umuhimu wa haki yao hiyo iliyotolewa na CHADEMA, wanakijiji wameapa ndani ya wiki mbili wataitisha mkutano wa kijiji na kuwatimua madarakani viongozi wa kijiji baada ya kuenda kinyume na taratibu za kuendesha serikali ya kijiji.


Choo cha wanafunzi hata gunia tu la kufunika mlango au kuezeka kwa nyasi mambo yameshindikana. Na hiyo ofisi ya Mwalimu Mkuu imeniacha hoi, nakumbuka siku nilipopita huku Tunduru karibu na kijiji cha Nakapanya na kuona mwalimu amevaa lubega akipuliza filimbi kuashiria wanafunzi kukusanyika kuanza ratiba ya siku ya shule, ofisi hii mwalimu mkuu kuvaa kandambili sitashangaa kwani mazingira yanaashiria hivyo maana kuvaa vizuri ni kwenda kujichafua.
 
Hiyo ndo ccm, sasa , vijana tusibaki kupiga kelele bila action, na action ya maana ni kuhakikisha tuna vitambulisho vya kupiga kura ili tuing'oe ccm 2015.
Jitahidi uwepo kule ulikojiandikisha la sivyo sasisha (update) your voting card. Kwa pale ulipo.
 
Hiyo ndo ccm, sasa , vijana tusibaki kupiga kelele bila action, na action ya maana ni kuhakikisha tuna vitambulisho vya kupiga kura ili tuing'oe ccm 2015.
Jitahidi uwepo kule ulikojiandikisha la sivyo sasisha (update) your voting card. Kwa pale ulipo.

CCM ni chama cha kutetea maslahi ya mapebari lakini CHADEMA ni chama cha wananchi kwasababu wanakubaliana na maombi ya wananchi.NACHUKIA CCM Kama nnavyochukia UCHUZI WA BATA. Chadema ni chama cha wananchi nasi chama cha wachache.MUNGU IBARIKI CHADEMA , MUNGU WABARIKI WATANZANIA.
 
Back
Top Bottom