Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Waheshimiwa kuna hii kitu inanitatiza sana siku zote,
kila siku mitaani na kwenye vyombo vya habari ukisikia wananchi wakizungumza kuhusu tatizo flani likiwa limetokea utasikia wanatumia hii kauli ya tunaishauri serikali, Madiwani, wabunge na hata mawaziri wakati mwingine huwa wanasema tunaishauri serikali.., hivi serikali ni nani?? kwa mtazamo wa Watanzania. Kwa sababu inashangaza sana mpaka waziri wa wizara husika nae anapohojiwa kuhusu ishu inayomhusu yeye moja kwa moja kama waziri badala ya kujibu anasingizi serikali..?? nisaidieni mwanzenu manake nashindwa kuelewa serikali ni nani kwa mtazamo wa Watanzania.
kila siku mitaani na kwenye vyombo vya habari ukisikia wananchi wakizungumza kuhusu tatizo flani likiwa limetokea utasikia wanatumia hii kauli ya tunaishauri serikali, Madiwani, wabunge na hata mawaziri wakati mwingine huwa wanasema tunaishauri serikali.., hivi serikali ni nani?? kwa mtazamo wa Watanzania. Kwa sababu inashangaza sana mpaka waziri wa wizara husika nae anapohojiwa kuhusu ishu inayomhusu yeye moja kwa moja kama waziri badala ya kujibu anasingizi serikali..?? nisaidieni mwanzenu manake nashindwa kuelewa serikali ni nani kwa mtazamo wa Watanzania.