Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Kelele za JK ameshindwa nchi zimezidi. Serikali haitekelezi wajibu wake na viongozi wanajifikiria wao ni maneno ambayo yamesemwa toka enzi za mababu! Watendaji wabovu wamekuwa nembo ya Taifa. Lakini bado wananchi wale wale ndio wanaowaacha madarakani. Ni wananchi hao hao ambao wanaruhusu dhuluma, uonevu, wizi, dharau nk vitendeke dhidi yao.
Ifike mahali wananchi waseme basi inatosha. Uwezo huo wanao. Kusema BASI ni HAKI yao ya msingi.
Ifike mahali wananchi waseme basi inatosha. Uwezo huo wanao. Kusema BASI ni HAKI yao ya msingi.