Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Hiyo ni lugha ya kujiridhisha tu.CCM kwa asilimia kubwa imejipanga vizuri kuanzia maeneo ya vijijini hadi mijini ikilinganishwa na vyama vingine vya siasa.Hivyo,ushindi wa ccm katika kiti cha urais hauna mjadala na kwamba idadi ya watu wanaokwenda kuhudhuria mikutano ya jk wanabebwa na malori kutoka eneo moja hadi jingine siyo kweli. Hakuna chama cha upinzani kitakachoweza kushinda kiti cha urais katika uchaguzi huu wa 2010,na hii ni kutokana na vyama hivyo kushindwa kujipanga vizuri hasa katika maeneo ya vijijini. Nguvu na mbinu zinazotumika sasa na vyama vya upinzani zilipaswa kutumika katika kuvijenga vyama vyao hapo awali, sasa hivi wamechelewa na watakuwa wasindikizaji tu wa ccm. USHAURI WANGU KWA VYAMA VYA UPINZANI NI KWAMBA BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUMSINDIKIZA CCM IKURU KATIKA UCHAGUZI WA 2010, WARUDI NA WAJIPANGE UPYA HASA KATIKA MAENEO YA VIJIJINI,WASIKAE MIJINI KUSUBIRI RUZUKU
Wewee sisi tunayaona mafuso kwa mafuso au hujasikia yaliyojiri Dodoma....halafu watu wanafuata fuata burudani za muziki kwenye mikutano ya JK na si hoja zake...jaribuni kuondoa hizo burudani muone nani atakuja.....kama huamini muulize Dr Bilal