Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Nimejaribu kufuatilia kwa ukaribu zaidi Kampeni za Rais aliyemaliza muda wake na sasa anaomba ridhaa tena kwa Wananchi wamchague Rais Kikwete nimegundua Asilimi kubwa inayojitokeza kwanza kundi lingine ni wale waliopewa pesa na Kundi linalofuata ni kuwa hawamjui Rais Kikwete kwani ukiangalia utaona watu wanashangaa yaani huyu naye anaomba kura baada ya kustaafu kwa heshima.Hata ukiwauliza wanasema yeye ndo mara ya kwanza kumwona. Mfano. Watu wanoenda kumwona Mtarajiwa Dr. Slaa wanakwenda kusikiliza kazi alizofanya na atakazofanya. Chagua CHADEMA kwa maendeleo ya nchi yako kwani nchi sasa inaliwa na wachache ili tugawane kila mtanzania chagua dr.Slaa