Mchokonoaji
Member
- Oct 1, 2009
- 26
- 1
:crying:Ikiwa ni mwitikio wa wito wa kukataa rushwa uliorushwa na Asasi ya Agenda Participation 2000 kwenye ITV, Channel 5 na East Africa Radio, Wananchi wengi wa jimbo la Igunga wamepiga simu na kutuma SMS kwa taasisi hiyo wakilalamika kuwa rushwa ya pikipiki inatolewa na TAKUKURU wamekaa kimya kama hawaioni!
Kinachosikitisha ni kuona ni wala na watoa rushwa fulani tu wanaokamatwa na kufikishwa mahakamani!