Wananchi ambao ni wakazi wa Wilaya ya Geita Wamelalamika juu ya matendo mabaya wanayotendewa na walinzi wa kampuni ya GEITA GOLD MINE [GGM] ya kuwaumisha mbwa wananchi wanaokwenda kuokota mabaki ya mawe ya mchanga wa dhahabu unaotupwa baada ya uchambuzi wa kuchotwa kwa dhahabu.
Kingine kinachoendeshwa na walinzi hao ni kuwavua nguo wanaume wanaokamatwa na kuwashikisha nyeti zao kama polisi wanavyowafunga watuhumiwa mashati ili kuweka ulinzi haswa wanapokuwa hawana pingu.Kwa kiswahili cha kisasa ni mtungo [kuunganisha] lakini kupitia kila moja kushika nyeti ya mmoja uku mwingine naye akimshika mwingine na kutengeneza mstari.
Kingine kibaya cha matendo hayo ni kuwabaka wakina dada wanaokamatwa kwenye maeneo hayo.Kwa Matendo hayo ambayo yamesemwa na wananchi hao huku wakionyesha vidonda vya kuumwa na mbwa [taarifa ya habari ITV].Walipofikisha taarifa juu ya matendo hayo ya KINYAMA yanayofanywa na Walinzi hao wa GGM,Viongozi wa Serikali walipofikishia malalamiko hayo hakuna chochote walichopata kama msaada kwa matendo hayo ya kinyama.
Wananchi walifanya uchunguzi kujua mbona malalamiko yao juu ya matendo ya kampuni hiyo ya GEITA GOLD MINE [GGM] hayana majibu kuna ni?Utafiti [Uchunguzi] wakagundua kuwepo taarifa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Geita ambae ndiye msimamizi na mwakilishi wa Rais wa jamhuri ya Muungano kwa Wananchi wa Geita anachukua Fedha kutoka kampuni hiyo kiasi cha shilingi Millioni 42 kwa Mwezi.
Hakika kwa wanaojua watwambie madai ya wananchi hao ambao kwa waliongalia taarifa ya habari ni kweli baadhi ya watu wanamakovu ya vidondo baadhi vikiwa bado vibichi.
Mtujuze wale wanaojua habari zaa Mgodi wa Geita [GGM] na Mahusiano yake na Mkuu wa Wilaya huyo.
nakushauri uende kule kwenye mahusiano na mapenzi utafurahia.kila nikija jukwaa la siasa lazima nipate hasira aaAAAAAARRRGHHH
Poleni sana lakini siwashawishi kusogelea eneo la mgodi, ni hatari sana
natamani kuitukana serikali ya kikwete pamoja na mkuu mwenyewe, ila naogopa kupigwa ban, japo ndiyo nimemaanisha hivyo
Hapo ndio utajuwa dini ya haki ni ipi.
<br />nakushauri uende kule kwenye mahusiano na mapenzi utafurahia.
Na hao wananchi wanafata nini eneo la mgodi? Na wanajua fika kuwa huko kuna walinzi na hawaruhusiwi kusogea?
Sioni jipya katika hili.Ni jana tu nilikuwa naangalia documentary fulani inayoihusha Barick Gold katika kuwapa mrungura viongozi mbalimbali wa Domican Republic, ili pollution wanayofanya katika rivers za nchi hiyo zisiwe exposed na zisiwe questioned.Wananchi ambao ni wakazi wa Wilaya ya Geita Wamelalamika juu ya matendo mabaya wanayotendewa na walinzi wa kampuni ya GEITA GOLD MINE [GGM] ya kuwaumisha mbwa wananchi wanaokwenda kuokota mabaki ya mawe ya mchanga wa dhahabu unaotupwa baada ya uchambuzi wa kuchotwa kwa dhahabu.
Kingine kinachoendeshwa na walinzi hao ni kuwavua nguo wanaume wanaokamatwa na kuwashikisha nyeti zao kama polisi wanavyowafunga watuhumiwa mashati ili kuweka ulinzi haswa wanapokuwa hawana pingu.Kwa kiswahili cha kisasa ni mtungo [kuunganisha] lakini kupitia kila moja kushika nyeti ya mmoja uku mwingine naye akimshika mwingine na kutengeneza mstari.
Kingine kibaya cha matendo hayo ni kuwabaka wakina dada wanaokamatwa kwenye maeneo hayo.Kwa Matendo hayo ambayo yamesemwa na wananchi hao huku wakionyesha vidonda vya kuumwa na mbwa [taarifa ya habari ITV].Walipofikisha taarifa juu ya matendo hayo ya KINYAMA yanayofanywa na Walinzi hao wa GGM,Viongozi wa Serikali walipofikishia malalamiko hayo hakuna chochote walichopata kama msaada kwa matendo hayo ya kinyama.
Wananchi walifanya uchunguzi kujua mbona malalamiko yao juu ya matendo ya kampuni hiyo ya GEITA GOLD MINE [GGM] hayana majibu kuna ni?Utafiti [Uchunguzi] wakagundua kuwepo taarifa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Geita ambae ndiye msimamizi na mwakilishi wa Rais wa jamhuri ya Muungano kwa Wananchi wa Geita anachukua Fedha kutoka kampuni hiyo kiasi cha shilingi Millioni 42 kwa Mwezi.
Hakika kwa wanaojua watwambie madai ya wananchi hao ambao kwa waliongalia taarifa ya habari ni kweli baadhi ya watu wanamakovu ya vidondo baadhi vikiwa bado vibichi.
Mtujuze wale wanaojua habari zaa Mgodi wa Geita [GGM] na Mahusiano yake na Mkuu wa Wilaya huyo.
Uislamu. Nenda zanzibar ukaone jinsi watu walivyistaarabika hata ukidondosha simu utatafutw urudishiwe au itatangazwa redioni. Hii yote ni kwa sababu ya kumwogopa allah. Mikristo dhambi kwao ni kama kawa. Angalia akina mzee wa upako na wengineo wanavyowatapeli waumini wao. Halafu pombe kwenu ni kama juice.dini ya haki ni ipi ? hebu tujuze! Labda kama haina fisadi hata mmoja nasi tuifuate!