Wananchi angalieni nchi yetu inavyoendelea kuuzwa

Huyu mjinga na wapumbavu wenzake washapiga mahesabu kwamba dola millioni 50 zitakuja kutoka Korea, yeye na mbwa wenzake kama yeye "samahani nimeshindwa kujizuia kutukana" watajipa mgao wa millioni 49; na millioni 1 itakwenda kwenye hilo shamba na wakorea watamiliki shamba kwa mkataba wa miaka 120.

kichefuchefu zaidi ni pale anaposema "I have to go now and we do awareness laising (meant to be raising I think), we have to educate people"......"we know its a village land but we have raws (meant to be laws I think) in this country"..."we cant accept land to remain idle because villagers say this is my land, that is not ploper (meant to be proper I think)"....... and he goes on to say "According to me as chief executive of this organisation Im not accepting that"...."and if the koreans are coming, they are ready, to herp (meant to say help I guess) the farmers, to herp the young, to herp the whatever...." "accoring to the level of poverty they have"...and he finishes by laughing like a clown.

Nina uhakika kabisa huyu atakuwa ni "msomi" fulani huyu, na hawa ndiyo wale wanaopiga kelele kila siku na kudharau wengine kwamba " aahh...yule mtu mwenyewe hata shule hajaenda"... Hivi huyu mtu bila kuangalia udhaifu wake wa lugha, tuangalie tuu udhaifu wake wa kufikiri, ubinafsi wa kauli zake, dharau kwa wanakijiji kwamba yeye kama chief executive basi anajua zaidi ya wanakijiji na "he cannot accept that"..... na kauli kama "the level of poverty they have"...

wana jamii forum hawa ndiyo watu wa kutaka kujua CV zao, na inawezekana vipi mtu mpumbavu kama huyu anakuwa na majukumu makubwa ya kuuza ardhi kubwa kinyume na matakwa ya wananchi wa rufiji.
 
Mbunge, madiwani ni wawakilishi wa eneo hilo wako wapi? Au wameshapata chao.
Sijui nani awe mtetezi wa wananchi wa wabongo dhibi ya ADUI huyu (ccm)
 
Yani hii nchi kila kukicha ni drama mpya zinafumuka, inaelekea watanzania wengi wamepoteza uzalendo na kujaa ubinafsi.
 
Huyu mjinga wa wapi? Hii nchi itaelewa lini? What is 50million? Nancy asante sana kwa info naomba na mimi nijizuie kidogo hasira nilizonazo nitasema vibaya mods wanifungie.
 
Mkiachiwa mtaiba ,na ushahidi upo ,bora warudi wale wakoloni.:whoo:
 
Nchi inaendelea kuuzwa.

Video - Breaking News Videos from CNN.com

Swali langu ni kwamba, kwanini kulima bonde la mto rufiji lazima waje wageni kutufundisha kulima? Hivi kwanini tuna chuo kama SUA kama kulima mpunga tuu ni lazima waje wa-korea? Jee "wasomi" wa SUA wanafanya kazi gani?

SUA siku hizi hawako huko. Kwa sasa wamehamia kwenye ufugaji wa panya buku na si kipindi kirefu tutaanza na sisi kuuzia nchi za nje vitegua mabomu haya na kuingiza madollar za Mzee Obama.
 
Huyu mjinga na wapumbavu wenzake washapiga mahesabu kwamba dola millioni 50 zitakuja kutoka Korea, yeye na mbwa wenzake kama yeye "samahani nimeshindwa kujizuia kutukana" watajipa mgao wa millioni 49; na millioni 1 itakwenda kwenye hilo shamba na wakorea watamiliki shamba kwa mkataba wa miaka 120.

kichefuchefu zaidi ni pale anaposema "I have to go now and we do awareness laising (meant to be raising I think), we have to educate people"......"we know its a village land but we have raws (meant to be laws I think) in this country"..."we cant accept land to remain idle because villagers say this is my land, that is not ploper (meant to be proper I think)"....... and he goes on to say "According to me as chief executive of this organisation Im not accepting that"...."and if the koreans are coming, they are ready, to herp (meant to say help I guess) the farmers, to herp the young, to herp the whatever...." "accoring to the level of poverty they have"...and he finishes by laughing like a clown.

Nina uhakika kabisa huyu atakuwa ni "msomi" fulani huyu, na hawa ndiyo wale wanaopiga kelele kila siku na kudharau wengine kwamba " aahh...yule mtu mwenyewe hata shule hajaenda"... Hivi huyu mtu bila kuangalia udhaifu wake wa lugha, tuangalie tuu udhaifu wake wa kufikiri, ubinafsi wa kauli zake, dharau kwa wanakijiji kwamba yeye kama chief executive basi anajua zaidi ya wanakijiji na "he cannot accept that"..... na kauli kama "the level of poverty they have"...

wana jamii forum hawa ndiyo watu wa kutaka kujua CV zao, na inawezekana vipi mtu mpumbavu kama huyu anakuwa na majukumu makubwa ya kuuza ardhi kubwa kinyume na matakwa ya wananchi wa rufiji.

Udhaifu wa lugha!!!

Nancy huyu jamaa ni msukuma (kabila lake) kwa hiyo siyo ajabu kabisa kufanya hayo makosaya matamshi.
Cha muhimu ni kuelewa ujumbe anaoutoa.

Ni sawa na kumwambia mzungu aongee kiswahili halafu utegemee kuwa ataongea kiswahili fasaha,haiwezekani atafanya makosa mengi tu katika utamshi wa maneno yake.

Sifikri kama umeshindwa kumwelewa ujumbe wake anaotoa simply kwa kutamka maneno vibaya.

Kumbuka wasukuma hata kwa kuongea kiswahili chenyewe ambayo ndo lugha ya taifa wanafanya makosa mengi sana katika matamshi ya maneno,e.g wakurya nao wana matatizo yao. Hii inatokana na matamshi ya mama zao (mother tongue) wakati wa utoto wao wanapojifunza lugha au matamshi kwa mara ya kwanza kabisa. Ni watu wachache sana wenye uwezo wa kubadilisha lafudhi zao wakiwa kwenye umri mkubwa. Umri mzuri wa kujifunza lafudhi ni pale unapokuwa bado mtoto.

Cha muhimu ni kumwelewa anatoa ujumbe gani na siyo matamshi ya lugha ambayo siyo yake ya asili.

Kumbuka mtoto wa mwingereza hata asipoenda shule anaweza kuwa mwongeaji mzuri sana tu wa lugha ya kiingereza hata kumpita kwa mbali sana mtanzania mwenye maPHDs mengi ya heshima.
 
Kama nyafasi zenyewe zinapewa kwa majitu mapumbavu kama haya basi tumeoza! i was so ashamed watching this idiot talking garbage!Is he saying that as a Government TZ could not use its qualified Agricultural professionals and scholars to develop and manage farming in rural regions like Rifiji basin area!?? couldn't TZ Gov afford 50M USD? shame on you fool!!
 
Wasomi wa Sua na wengineo wanahangaika kufungua baa na gest haus kwa imani kuwa ndo zinazolipa kwa haraka

Katika biashara hiyo wala usiwasahau waalimu wa chuo kikuu cha Mzumbe ndio wenyewe kwa kuchafua mji mzima wa Morogoro na biashara ya nyumba za ngono kila mahali. Wengi tunajiuliza kama tafiti zao huenda zinatabiria SEXUAL BOOM katika mji huu au simply wagundua kwamba WAPOGORO WENGI NI SEXY.
 
Sioni tatizo hapa, kazi ya Rufiji Basin Development Authority (RUBADA) ni kuvutia wawekezaji wakubwa wa kilimo kwenye bonde la Rufiji ambalo limekaa tu bila kulimwa huku Tanzania ikiendelea kuomba msaada wa chakula kutoka nje. Wacha waje Wakorea na hizo $50m wawekeze kwenye kilimo. DG wa RUBADA, Aloyce Masanja, anafanya jitihada sahihi kuvutia wawekezaji wa nje. CNN wametumia sensational journalism tu, Tanzania is not selling land to the Koreans, it is leasing the land.
 
sasa mtu kama bwana Aloyce Masanja anaiwakilisha nchi kusaini mikataba ya kimataifa leo hii natamka rasmi kusema mkwele wanamuonea. Sipati picha akikaa makamba na bw Aloyce Masanja meza moja wakishauriana na Gbagbo kuhusu mustakabali wa taifa
 
Udhaifu wa lugha!!!

Nancy huyu jamaa ni msukuma (kabila lake) kwa hiyo siyo ajabu kabisa kufanya hayo makosaya matamshi.
Cha muhimu ni kuelewa ujumbe anaoutoa.

Ni sawa na kumwambia mzungu aongee kiswahili halafu utegemee kuwa ataongea kiswahili fasaha,haiwezekani atafanya makosa mengi tu katika utamshi wa maneno yake.

Sifikri kama umeshindwa kumwelewa ujumbe wake anaotoa simply kwa kutamka maneno vibaya.

Kumbuka wasukuma hata kwa kuongea kiswahili chenyewe ambayo ndo lugha ya taifa wanafanya makosa mengi sana katika matamshi ya maneno,e.g wakurya nao wana matatizo yao. Hii inatokana na matamshi ya mama zao (mother tongue) wakati wa utoto wao wanapojifunza lugha au matamshi kwa mara ya kwanza kabisa. Ni watu wachache sana wenye uwezo wa kubadilisha lafudhi zao wakiwa kwenye umri mkubwa. Umri mzuri wa kujifunza lafudhi ni pale unapokuwa bado mtoto.

Cha muhimu ni kumwelewa anatoa ujumbe gani na siyo matamshi ya lugha ambayo siyo yake ya asili.

Kumbuka mtoto wa mwingereza hata asipoenda shule anaweza kuwa mwongeaji mzuri sana tu wa lugha ya kiingereza hata kumpita kwa mbali sana mtanzania mwenye maPHDs mengi ya heshima.

Nilishasema kwamba tuache mapungufu yake ya lugha na tuangalie uwezo wake kufikiri. Lakini kwa kuwa umekosa cha kuandika na lazima uandike, bado tuu ukafanya kama vile mimi nimeshambulia uwezo wake wa lugha. Kazi tunayo.
 
Nilishasema kwamba tuache mapungufu yake ya lugha na tuangalie uwezo wake kufikiri. Lakini kwa kuwa umekosa cha kuandika na lazima uandike, bado tuu ukafanya kama vile mimi nimeshambulia uwezo wake wa lugha. Kazi tunayo.

Crap.
 
Nilishasema kwamba tuache mapungufu yake ya lugha na tuangalie uwezo wake kufikiri. Lakini kwa kuwa umekosa cha kuandika na lazima uandike, bado tuu ukafanya kama vile mimi nimeshambulia uwezo wake wa lugha. Kazi tunayo.

Wala hukutakiwa kuumiza vidole vyako kumshambulia kila mahali alipokosea kutamka, inaonyesha kiasi gani ulikuwa umemshupalia ktk matamshi yake.
 
Nchi inaendelea kuuzwa.

Video - Breaking News Videos from CNN.com

Swali langu ni kwamba, kwanini kulima bonde la mto rufiji lazima waje wageni kutufundisha kulima? Hivi kwanini tuna chuo kama SUA kama kulima mpunga tuu ni lazima waje wa-korea? Jee "wasomi" wa SUA wanafanya kazi gani?

Muoneni mwengine huyu? kwani ndio leo tumeanza kuleta wa Taalamu wa kilimo Tanzania?

Walisha kuja wa Canada, wakatuachia mashamba na ma mashine mazuri tu ya kulimia, mama yangu! walipoondoka tu, kila kitu kwisha, mpaka sasa wanakodisha watu kuyalima hayo mashamba na mengine naona wameshaa yauza. Hii ni Hanang.

Walisha kuja wa China huko Mbarali, mambo mazuuuuri kabisa. Duhhh, walivyooondoka tu! Kwisha kila kitu.

Sasa jiulize hao SUA unaosemaa wewe si wapo hapamiaka yote? kimewashinda nini kwenda huko Rufiji?

Mie nadhani Umoja wa Mataifa walifanya makosa kutupa hii nchi kabla ya wakati wetu. Labda wangetupa sasa, miaka hamsini baadae, au hamsini ijayo ndioingekuwa vizuri zaidi.

Unafikiri tutajuwa ku-manage hayo mashamba? Tuombe Mungu hao wa Korea wakae muda mrefum kama miaka hamsini hivi au zaidi kidogo, kwani wakiondoka tu. Mashamba na ujuzi watayo tuachia yata-kufilia mbali. Do you know why?
 
Back
Top Bottom