Wananachi wa Arumeru Mashariki wanaulizia ahadi ya Mbunge wao kushusha bei ya sukari

Wanabodi.

Habari tulizozipata kutoka kwa Wananchi wa Arumeru Mashariki, wanaomba kuuliza mbunge wao Joshua Nassari kafikia wapi kwenye ahadi yake aliyotoa wakati wa kampeni Arumeru Mashariki.

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wapiga kura wake Wananchi wa Arumeru Mashariki, kuwa wakimchagua kuwa mbunge wao Arumeru Mashariki atashusha bei ya sukari ndani ya miezi miwili.

Wananchi wapenda maendeleo Arumeru Mashariki wanahoji lini bei ya sukari itashuka kwenye jimbo lao.

Acha umagamba wako wewe. Embu vua gamba kwanza alafu uvae gwanda.
 
Ama kweli, "Mtu Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake haumtoki". Kwahiyo kudanganya kwa Mkwerre ni bora kuliko wa Nassari? Hivi Wanaarumeru Mashariki wakishushiwa bei ya sukari ilhali Watz wengine bei inaendelea kupaa, ndio utakuwa umetatua tatizo la Watz? Kipi bora, kushusha bei ya sukari nchini kote au kushusha Arumeru Mashariki tu? Na kama nchi nzima bei haijashuka, wa kumuuliza ni Nassari au Mkwerre na timu yake ya Magamba? Mbona unakuwa kama sio m.p.u.m.b.a.v.u vile???????????
Ujinga mtupu. Swali limeulizwa 'a' unajibu 'eeh'
 
Joshua Nassari analo hilo tunaomba majibu

Huu ni mwaka wa ngapi kwa kikwete na ahadi alizotuahidi Mh Rais Muda umezidi kukimbia sana bila matumaini yoyote ya maisha bora kwa kila mtanzania, au Mheshimiwa utagombea tena kwa kipindi cha tatu ili utekeleze hata japo ahadi chache ulizotuahidi wananchi wako? Kwani huwezi kwamuda uliobaki kufanikiwa kununua meli tatu kubwa kuliko MV Bukoba kwenye maziwa matatu yaani Victoria,Tanganyika na Nyasa. Na sioni pia uwezekano wa wewe kuibadilisha Kigoma kuwa kama Dubai kama ulivyoahidi mwaka juzi. Sioni pia uwezekano wa wewe kuweza kujenga viwanja vya ndege vya kimataifa huko Mwanza na Bukoba katika muda uliobaki. Sioni uwezekano wa kuhakikisha kila mwanafunzi ana kompyuta yake kabla ya 2015 kama ulivyoahidi, sijaona uwezekano wa kumnunulia bajaj kila mwanamke mjamzito wa nchi hii, na kadhalika. Mpaka sasa hatujaona barabara za juu ulizoziahidi mwaka 2005. Mheshimiwa, bado hatujaonyeshwa bayana ajira milioni moja zaidi ya kuona vijana wanaookota chupa za maji zilizotumika mitaani wakiongezeka mithili ya vichaa.
si bora Kamanda Nassari hata ameweka kisima cha maji na bado vinaendelea kujengwa coz vinatakiwa zaidi ya sita?
 
Wanabodi.

Habari tulizozipata kutoka kwa Wananchi wa Arumeru Mashariki, wanaomba kuuliza mbunge wao Joshua Nassari kafikia wapi kwenye ahadi yake aliyotoa wakati wa kampeni Arumeru Mashariki.

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wapiga kura wake Wananchi wa Arumeru Mashariki, kuwa wakimchagua kuwa mbunge wao Arumeru Mashariki atashusha bei ya sukari ndani ya miezi miwili.

Wananchi wapenda maendeleo Arumeru Mashariki wanahoji lini bei ya sukari itashuka kwenye jimbo lao.

Unatokwa na povu mapema mwambie kikwete atekeleze yeye kwanza Kwani hawezi kwamuda uliobaki kufanikiwa kununua meli tatu kubwa kuliko MV Bukoba kwenye maziwa matatu yaani Victoria,Tanganyika na Nyasa. Na sioni pia uwezekano wa wewe kuibadilisha Kigoma kuwa kama Dubai kama ulivyoahidi mwaka juzi. Sioni pia uwezekano wa wewe kuweza kujenga viwanja vya ndege vya kimataifa huko Mwanza na Bukoba katika muda uliobaki. Sioni uwezekano wa kuhakikisha kila mwanafunzi ana kompyuta yake kabla ya 2015 kama ulivyoahidi, sijaona uwezekano wa kumnunulia bajaj kila mwanamke mjamzito wa nchi hii, na kadhalika. Mpaka sasa hatujaona barabara za juu
ulizoziahidi mwaka 2005.bado hatujaonyeshwa bayana ajira milioni moja zaidi ya kuona vijana wanaookota chupa za maji zilizotumika mitaani wakiongezeka mithili ya vichaa. na sisi tunataka tujue ahadi hizi tunatekelezwa lini????
 
Chadema kwa hiyo mnapata "Excuse" kwa sababu CCM hawajatekeleza ahadi zao!
 
Chadema kwa hiyo mnapata "Excuse" kwa sababu CCM hawajatekeleza ahadi zao!
Mkuu kuna thread nyingine ya ahadi za Rais nenda kachangie ambayo niza nchi nzima hizi za Arumeru tuachie sisi wameru shida yetu ilikuwa maji na siyo sukari
 
Unatokwa na povu mapema mwambie kikwete atekeleze yeye kwanza Kwani hawezi kwamuda uliobaki kufanikiwa kununua meli tatu kubwa kuliko MV Bukoba kwenye maziwa matatu yaani Victoria,Tanganyika na Nyasa. Na sioni pia uwezekano wa wewe kuibadilisha Kigoma kuwa kama Dubai kama ulivyoahidi mwaka juzi. Sioni pia uwezekano wa wewe kuweza kujenga viwanja vya ndege vya kimataifa huko Mwanza na Bukoba katika muda uliobaki. Sioni uwezekano wa kuhakikisha kila mwanafunzi ana kompyuta yake kabla ya 2015 kama ulivyoahidi, sijaona uwezekano wa kumnunulia bajaj kila mwanamke mjamzito wa nchi hii, na kadhalika. Mpaka sasa hatujaona barabara za juu
ulizoziahidi mwaka 2005.bado hatujaonyeshwa bayana ajira milioni moja zaidi ya kuona vijana wanaookota chupa za maji zilizotumika mitaani wakiongezeka mithili ya vichaa. na sisi tunataka tujue ahadi hizi tunatekelezwa lini????

Mkuu kama CCM waongo na nyie mnakuwa waongo?
 
Back
Top Bottom