Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,812
- 11,119
Sisi Kyela wala sasa tumeamua kutomghasi Mbunge wetu Dr Mwakyembe kwani sasa kawa Mbunge wa Taifa na wala sio tena Mbunge wa Jimbo la Kyela!Hamna ahadi hata moja tuliyopewa toka 2005 ilitokelezwa!
Kwenye bajeti mpya hatujapewa mradi wowote mkubwa;hata mradi wa Meli ambayo Wizara yake ndiyo inasimamia hatujapewa;ahadi ya barabara ya Kyela-Matema tuliyohaidiwa toka 2005 sijaiona pia;zaidi zaidi tunamuona Dr Mwakyembe akipanda behewa kwenda Dodoma!Ukipanda behewa chakavu kwenda Dodoma ndiyo Kyela tutapata maji;umeme;huduma za matibabu na watoto wetu ndiyo watafaulu sekondari?
Kwenye bajeti mpya hatujapewa mradi wowote mkubwa;hata mradi wa Meli ambayo Wizara yake ndiyo inasimamia hatujapewa;ahadi ya barabara ya Kyela-Matema tuliyohaidiwa toka 2005 sijaiona pia;zaidi zaidi tunamuona Dr Mwakyembe akipanda behewa kwenda Dodoma!Ukipanda behewa chakavu kwenda Dodoma ndiyo Kyela tutapata maji;umeme;huduma za matibabu na watoto wetu ndiyo watafaulu sekondari?