Maswali ya kijinga kama haya uwe unajiuliza peke yako. Sisi wanaMbeya tuna uwelewa mkubwa sana. Usituharibe wasifu wetu
Kingengame, nilimuuliza aliyeanzisha thread na alinijibu kwa ustaarab kabisa jana hiyo hiyo. Sijui ni kitu gani kimekusukuma uandike ulichoandika, na kama ni maswali ya kijinga kwanini umejibu? Kwanini umejihusisha na maswali ya kijinga? What does that say about you and your thinking? clever?