Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Najua watu wengine wanapata presha kweli maana kwanza matokeo yanaonekana hayaji kwa haraka sana na pili matokeo yanaonekana kuwa karibu sana. Jamani kuna vituo zaidi ya 50,000!! Hii ina maana we have a long way to go. Lakini kuna mambo ambayo napenda kuwaangaliza maana wengine wameshaanza kupata presha hasa wa "mgombea wetu".
a. Tatizo kubwa limekuwa kwenye kupiga kura za wabunge na madiwani kuliko za Rais.
b. Turn out ni kubwa kuliko watu walivyotarajia, msichanganyikiwe na kura zinaonesha idadi ndogo ya watu kwenye kituo kimoja, kuna vituo vingi ambavyo watu wamejitokeza mapema sana na kupiga kura hivyo wengine mlipoamka mtakuta watu hawatokei tena.. kumbuka kila kituo hakikuzidi watu 500. Hadi hivi sasa nimeonoa kuwa turn out iko a little over 60 percent na tukijua zaidi matokeo ya mikoani nadhani turn out inaweza kuwa juu zaidi ya hapo.
c. TAtizo kubwa hadi hivi sasa halijawa kwa wapiga kura, wapiga kura wamefanya beyond superb, tatizo ni vyombo husika hususan NEC wamejiabisha - I will leave that kwa siku nyingine.
d. Take a break, nenda kapige soga do something to enjoy the day bcuz this is history happening b4 ur eyes
e. Baadaye kidogo tutarusha matangazo ya ITV kupitia Bongoradio.com kwa hiyo tune kwenye Bongo radio kupata live update kwa wale walio mbali na nyumbani au mbali na luninga..
Otherwise, kama hujanunua champagne bado basi wewe ni miongoni mwa "wenye imani haba".
a. Tatizo kubwa limekuwa kwenye kupiga kura za wabunge na madiwani kuliko za Rais.
b. Turn out ni kubwa kuliko watu walivyotarajia, msichanganyikiwe na kura zinaonesha idadi ndogo ya watu kwenye kituo kimoja, kuna vituo vingi ambavyo watu wamejitokeza mapema sana na kupiga kura hivyo wengine mlipoamka mtakuta watu hawatokei tena.. kumbuka kila kituo hakikuzidi watu 500. Hadi hivi sasa nimeonoa kuwa turn out iko a little over 60 percent na tukijua zaidi matokeo ya mikoani nadhani turn out inaweza kuwa juu zaidi ya hapo.
c. TAtizo kubwa hadi hivi sasa halijawa kwa wapiga kura, wapiga kura wamefanya beyond superb, tatizo ni vyombo husika hususan NEC wamejiabisha - I will leave that kwa siku nyingine.
d. Take a break, nenda kapige soga do something to enjoy the day bcuz this is history happening b4 ur eyes
e. Baadaye kidogo tutarusha matangazo ya ITV kupitia Bongoradio.com kwa hiyo tune kwenye Bongo radio kupata live update kwa wale walio mbali na nyumbani au mbali na luninga..
Otherwise, kama hujanunua champagne bado basi wewe ni miongoni mwa "wenye imani haba".