BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,509
- 11,881
Wanakijiji wa butiama wametishia kuzuia uwashwaji wa mwenge kwani ahadi waliyopewa na JK butiama kuwa makao makuu ya wilaya imeyeyuka baada ya kijiji cha kibyakari kuwa makao makuu ya wilaya mpya ya butiama!my note hivi wanabutiama hawajui kuwa hii ni serikali ya kisanii?