Wanakijiji butiama kuzuia uwaswhaji wa mwenge!

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,509
11,881
Wanakijiji wa butiama wametishia kuzuia uwashwaji wa mwenge kwani ahadi waliyopewa na JK butiama kuwa makao makuu ya wilaya imeyeyuka baada ya kijiji cha kibyakari kuwa makao makuu ya wilaya mpya ya butiama!my note hivi wanabutiama hawajui kuwa hii ni serikali ya kisanii?
 
Wanakijiji wa butiama wametishia kuzuia uwashwaji wa mwenge kwani ahadi waliyopewa na JK butiama kuwa makao makuu ya wilaya imeyeyuka baada ya kijiji cha kibyakari kuwa makao makuu ya wilaya mpya ya butiama!my note hivi wanabutiama hawajui kuwa hii ni serikali ya kisanii?
source please!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom