Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Lakini kumbuka Arusha one ndio wa kwanza kujiunga!
Ni kweli yupo muda mrefu humu, ila muda mwingi anabaki msomaji. well, la msingi busara tu zitumike kuondoa hizo conflicts
Lakini kumbuka Arusha one ndio wa kwanza kujiunga!
Habari ZENYU ladies and gentlemen! Ngoja nami nishike microphone nikamue. Nilichukua uamuzi wa kuwa member. Nikachagua Arushaone as my ID nikaruhusiwa. Then nikaona jina lako nami nikaweka complain (mods ileteni hapa) ndio nitaendelea.
Ni kweli yupo muda mrefu humu, ila muda mwingi anabaki msomaji. well, la msingi busara tu zitumike kuondoa hizo conflicts
ndo maana nikasema maamuzi yatakuwa magumu. Ni kweli Arusha one ndo alianza, alipotelea wapi? huku ndani nani aseme anamjua? kiukweli mimi ndo namwona leoLakini kumbuka Arusha one ndio wa kwanza kujiunga!
ndo maana nikasema maamuzi yatakuwa magumu. Ni kweli Arusha one ndo alianza, alipotelea wapi? huku ndani nani aseme anamjua? kiukweli mimi ndo namwona leo
ndo maana nikasema maamuzi yatakuwa magumu. Ni kweli Arusha one ndo alianza, alipotelea wapi? huku ndani nani aseme anamjua? kiukweli mimi ndo namwona leo
Well said lakini mwisho wa siku nani mwenye kosa?
shughul ipo ila mie namtambua Arushaone, huyu wa pili nimemgundua leo!
Hivi sheria inasemaje mtu anapotangaza ndoa na mke wa mwingine..??
Despite that I was the last to get in, natoa lawama kwa jf registration people, they didn't let me know that there's another name closely to mine. Uamuzi mnao.
isiwe tabu wala nini, unaweza badilisha tu kama linaonekana kuchanganya, unaweza tumia Arusha2012 au kama wa Arusha wanakuzingua karibu kwetu Songea, tutakukaribisha kwa mikono yote. si eti mlongo wangu snowhite?Despite that I was the last to get in, natoa lawama kwa jf registration people, they didn't let me know that there's another name closely to mine. Uamuzi mnao.
hata kama Arushaone ataamua kubadili id, kumbukeni yeye ni member active hivyo kutakuwa na mkanganyiko tutakapomwona Arusha one tunaweza kumtag / comment tukidhani ndiye Arushaone.
ME USHAURI WANGU NI KWAMBA WOTE WABADILI ID ZAO!!!!!!
isiwe tabu wala nini, unaweza badilisha tu kama linaonekana kuchanganya, unaweza tumia Arusha2012 au kama wa Arusha wanakuzingua karibu kwetu Songea, tutakukaribisha kwa mikono yote. si eti mlongo wangu snowhite?
Nshomile unataka kuja songea? karibu sana tena sana kabisa, na mnavyopenda warembo wa huko kwetu? kuna ndugu zangu wengi wameolewa na ndugu zako, lol!Namimi naomba kuja songea!
That nyc ideal mteja wangu!
Hii itasaidia kutoa haki kwa wote japo kisheria Arushaone ana onekana kushindwa!
Nshomile unataka kuja songea? karibu sana tena sana kabisa, na mnavyopenda warembo wa huko kwetu? kuna ndugu zangu wengi wameolewa na ndugu zako, lol!