SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
WanaJF wawili,Kabakabana naTHK DJAYZZ wakutana nakuzungumzia majukwaa ya JF.Mazungumzo yao yalienda hivi:
Kabakabana:Jukwaa la siasa naliogopa sana.
THK: Kisa? Hupendi siasa?
Kabakabana:Si kwamba sipendi siasa ila wee acha tu.THK,una habari kwamba Jukwaa la Siasa lina mods wengi kuliko majukwaa mengine?
THK: Kwani hapo tatizo ni nini?
Kabakabana:Yaani kujazana mods wengi hapo wewe huoni tatizo? Kwanza: Ni rahisi mtu kushushiwa ban kwenye jukwaa hili. Yaani ukikosea kuweka 'k' kwenye jina la rais halafu ukaandika kiwete, umekwisha! Unakamatwa juu kwa juu.
THK:Wacha wee!
Kabakabana:Unafikiri? Halafu majina ya hao mods yamebeba hisia za ukali
THK:Ehe! Kama vile?
Kabakabanaaw, si unajua kiganja cha mguu wa simba kilivyo hatari? Ndo jina la mod rafiki yangu.Mwingine ni Silencer, yaani mnyamazishaji. Halafu kuna Fang yaani meno ya nyoka mwenye sumu. Kisha kuna Painkiller, yaani mwondoa maumivu utakayopata ukishushiwa ban. Halafu usimsahau RR, Russian Roulette.unawekewa mtutu wa bastola kichwani!
Kabakabana:Jukwaa la siasa naliogopa sana.
THK: Kisa? Hupendi siasa?
Kabakabana:Si kwamba sipendi siasa ila wee acha tu.THK,una habari kwamba Jukwaa la Siasa lina mods wengi kuliko majukwaa mengine?
THK: Kwani hapo tatizo ni nini?
Kabakabana:Yaani kujazana mods wengi hapo wewe huoni tatizo? Kwanza: Ni rahisi mtu kushushiwa ban kwenye jukwaa hili. Yaani ukikosea kuweka 'k' kwenye jina la rais halafu ukaandika kiwete, umekwisha! Unakamatwa juu kwa juu.
THK:Wacha wee!
Kabakabana:Unafikiri? Halafu majina ya hao mods yamebeba hisia za ukali
THK:Ehe! Kama vile?
Kabakabanaaw, si unajua kiganja cha mguu wa simba kilivyo hatari? Ndo jina la mod rafiki yangu.Mwingine ni Silencer, yaani mnyamazishaji. Halafu kuna Fang yaani meno ya nyoka mwenye sumu. Kisha kuna Painkiller, yaani mwondoa maumivu utakayopata ukishushiwa ban. Halafu usimsahau RR, Russian Roulette.unawekewa mtutu wa bastola kichwani!