CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #21
kha! nimesusiwa mji ngoja niende zangu kulala. . .
kha! nimesusiwa mji ngoja niende zangu kulala. . .
huyo M'Jr yupo wapi? mi sipo huko ningekuwepo ningekutafuta shost.
kwa hyo umefurahi co?
mkuu mimi nipo huku kyamakorere. nina mpango wa kuja majengo mchana. je ntakukuta? vipi unakunywa kilaji? umekuja single? Mia
Honestly............Yesssssss
charminglady hebu njoo umsikie huyu...........Tooo late for ur happiness.....
mkuu mimi nipo huku kyamakorere. nina mpango wa kuja majengo mchana. je ntakukuta? vipi unakunywa kilaji? umekuja single? Mia
haya mkuu nkifika ntakutafuta. . . . .PAMOJA DAIMA
Kemakorere unafanya nini figganigga ...pitia mitaa ya magamaga tarime mjini uwape hi
hahhaha jamani mke mwenza vipi tena mvumilivu hula mbivu jamani mana hukuSaint Ivuga nguo ndio nimeziloweka leo siku ya nne sijazitoa ktk maji mgongo waniuma siwez fua siku za karibuni may be wiki ijayo vumilia tu mpznimemsikia, hana jipya hyo kidume gan anaogopa wagen? mwaya we furah km vp tutangaze ndoa maana maisha ya uke wenza yananisha. leo cku ya tatu sijamwona Saint Ivuga kabanwa kwa bi mkubwa CUTE
charminglady niletee samaki huko mpz mana nasikia kuna mijisamaki ya kufa mtuza jion wapendwa katika jamvi hili. jumamosi jioni nitakuwa musoma kwa wale wanajf wa pande hzo naomba kampani yenu.
N.B. Sipendi kujuana sana, kama utaweza kuja nitakapokuelekeza nifahamu km charminglady not otherwise. masuala ya wewe wafanya nini,jina lako,makazi n.k ctaki. . . . .
oh,pole. nlikuja nikachuniwa so nimeshaondoka!
charminglady niletee samaki huko mpz mana nasikia kuna mijisamaki ya kufa mtu