WanaJF wa MMU tumoderate jukwaa letu

Status
Not open for further replies.
If they're not breaking any JF rules why the other thead of yours was deleted then?

I am still bewildered as to why it was trashed!! For all I know I didn't break any rule(s). All I said in it was I miss BabyGal, who is also a member here. Similar threads in the past have been moved to the Chit-Chat section. But mine wasn't. Now you tell me....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Let it be Mkuu.
Huyu jamaa hakuanzia hapa...almost siku nzima ya leo kaniandama tena kwa matusi,
sasa kama alikuwa analizimisha iwe hivyo, basi na iwe.

Matusi yapi mkuu? Mbona hukuniripoti kwa Mods
 
halafu kuna mada zingine zinazarauliwa ila ni nzuri, kuna watu wanaomba ushauri wamekwama ila unakuta wamechuniwa, muda huo huo ikianzishwa thread nyingine hata kama ni ya masihara ilimradi imeanzishwa na member anayeaminiwa hatoi pumba (blackberry atasibitisha)itachangiwa hadi na watu waliopotea jf.

Exactly

Watu weshajijengea kiji-society ndani ya society. Kuna watu wanaanzisha topic ambazo zisingechangiwa au zingeitwa zimekosa mantiki iwapo zingeanzishwa na wasio almaaruf humu lkn kwa vile muanzilishi anajuulikana tu basi zinajaza kurasa kwa kurasa.

Mtu achangie kile anachopenda na awaache wengine wafanye hivyo pia. Kila mmoja ana haki sawa.
 
I am still bewildered as to why it was trashed!! For all I know I didn't break any rule(s). All I said in it was I miss BabyGal, who is also a member here. Similar threads in the past have been moved to the Chit-Chat section. But mine wasn't. Now you tell me....

The long and short of it ni kwa kuwa huna jina. Ungekuwa maarufu ingepelekwa huko chit chat.
Maana kuna thread zinatumwa jukwaa silo kwa kukusudia (mwenye mada husema hasa kuwa jukwaa silo lakini anaomba iachwe ili apate audience kubwa) na huachwa huko!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
The long and short of it ni kwa kuwa huna jina. Ungekuwa maarufu ingepelekwa huko chit chat. Maana kuna thread zinatumwa jukwaa silo kwa kukusudia (mwenye mada husema hasa kuwa jukwaa silo lakini anaomba iachwe ili apate audience kubwa) na huachwa huko!



Nimeipenda hii... ina ka-ukweli ndani yake....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Pia si busara kufanya mawasiliano binafsi, yananikera sana.
Kutumia abusive language si swala la busari. Jamani naomba tustaarabike.
 
hatuchangii thread kwa kuwa watu ni maarufu
tunachangia kwa sababu tunawaelewa kutokana na michango yao.....hapa

leo gaijin au nyumba kubwa ukija na thread title 'NDOA HAZINA MAANA YEYOTE'
obviously tutachangia mno,why ni kwa sababu thru michango yako
we feel like tunakuelewa na hata kama ni utani ,kuna kitu usefull kwenye mchango wako

umuhimu wa authenticity wa watoa mada kwangu ni muhimu aisee....
labda wasizuiwe but sio jambo dogo kihivyo......
 
EMT

Kinachokukasirisha ni kuwa watu wanaomba ushauri wasiouhitajia tu au?

Hakuna ubaya kuanzisha thread ambayo itaibua mijadala iwe ni kweli au uongo.

Sijaona mantiki ya posts kufutwa just kwa kuwa mtu ameomba ushauri unaotofautiana ndani ya siku chache. Ni kuingilia uhuru wa kuchangia. As long as hakujavunjwa sheria waachwe waandike watakacho, asieipenda mada asichangie tu

Mkuu hakuna kinachonikasirisha. Mie nimetoa hoja kulingana na yaliyosemwa hapa siku chache zilizopita ambazo zimewafanya Mods waamue kumoderate hili jukwaa kama lile la siasa kitu ambacho napingana nacho. Nikaja na hii hoja labda sisi watumiaji wa hili jukwaa tujimoderate wenyewe.
 
Mkuu hakuna kinachonikasirisha. Mie nimetoa hoja kulingana na yaliyosemwa hapa siku chache zilizopita ambazo zimewafanya Mods waamue kumoderate hili jukwaa kama lile la siasa kitu ambacho napingana nacho. Nikaja na hii hoja labda sisi watumiaji wa hili jukwaa tujimoderate wenyewe.

Hivi unadhani Mods wanataka kumodarate kwa sababu watu wanaleta mada ambazo zinakinzana ndani ya wiki chache?
 
Kama unatumia too much energy kuchangia hapo sawa. lakini kama unachukulia kama mazungumzo ya kawaida; sidhani kama ukweli wa mada una matter. Kwani ni lazmia mtu aandike kuhusu maisha yake??

Mbona kuna wengi (siwataji) wanaanzisha mada ambazo hata mtoto mdogo anaweza kusema hii issue ni ya jamaa ila ameiwakilisha kama anamuulizia mshikaji. Lakini bado issue ni sensitive na ina deserve michango japo mtoa mada amedanganya kwa kusema ni tatizo la rafikiye si lake.

Na bado kuna issue inaweza kuletwa na mtoa mada akapretend ni yake kumbe si yake amefikiria kitu ambacho kinaweza kutokea.

Imagine kama ni lazima kusema ukweli na yanayokuhusu tu kama kungekuwa na thread hapa.

Nakubali kuna kind ya watu ambao ana kuwa so emotionally involved na tatizo la mtu kwa hivyo anaona hasira kama mtu anadanganya. Cha muhimu ni kuchangia ukijua kuwa yaweza kuwa kweli au si kweli as long as tatizo laweza ku exist duniani; si la kufikirika na kusadikika; wewe mwaga comments tu kama una wazo la kusaidia.
hatuchangii thread kwa kuwa watu ni maarufu
tunachangia kwa sababu tunawaelewa kutokana na michango yao.....hapa

leo gaijin au nyumba kubwa ukija na thread title 'NDOA HAZINA MAANA YEYOTE'
obviously tutachangia mno,why ni kwa sababu thru michango yako
we feel like tunakuelewa na hata kama ni utani ,kuna kitu usefull kwenye mchango wako

umuhimu wa authenticity wa watoa mada kwangu ni muhimu aisee....
labda wasizuiwe but sio jambo dogo kihivyo......
 
Na support Boss alosema....Mtu waweza Changia kwa siku mada hata 10 sometimes hata 15 thou siku hazifanani siku umechoka 2 to 5.... Members wanasahau kua kuna Thread Mwenyewe aki post kamaliza... anasubiri mtoe mawazo yenu na wala hakuna feed back - hapo inakua vigumu saana kuongea nyie members mlobaki out of assumptions... inapokua Member alo post kutoa/kuomba ushauri... inevitably Thread lazima itakua ndefu with many pages...

Pia kuna issue ya Threads ambazo zimerushwa kwa ajili for fun kwamba members wafurahi hapo na relax their minds... Mfano mzuri hapo ya Rev na TF zipo MMU leo... (hapo ndipo itakua kazi, for Mods watatumia vigezo gani ku qualify/disqulify a thread; wao waweza ona haifai but majority kwao ni muhimu) For such a thread hapo hamna ushauri zaidi ya kuchakachua, banting, chatting and enjoying while in the process... Pia kuna issue ya Member mwingine kwa Week anaomba ushauri zaidi ya hata mara kumi... But hata siku moja huwezi mkuta huyo Member katika Thread ya mtu mwingine walau kuungana na member mwenzie ambae pia kwa anamuhitaji.... Such member anatia Uvivu saana....

MFANO kuna member aliwahi rusha Uzi kua binti yake mdogo (under 12 kama sikosei) alikua anachezewa na baba wa jirani mwenye duka... only to find huyo member siku hio hio karusha uzi kulalamika kelele za majirani wakati wanakula raha... Sasa unajiuliza... "Is this member serious" Kwamba ana serious issue ya mtoto mdogo alafua anatuma post nyingine haina msingi.... Hivo vitu vinavochangia ni vingi...

Kwa member ambae ni the so called maarufu kua hata akipost haina uzito wachangiaji ni wengi... i believe pia inachangiwa na the fact huyo member ni mchangiaji mzuri saana wa threads zingine, hivo inevitably nae pia hupata wachangiaji wengi...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kama unatumia too much energy kuchangia hapo sawa. lakini kama unachukulia kama mazungumzo ya kawaida; sidhani kama ukweli wa mada una matter. Kwani ni lazmia mtu aandike kuhusu maisha yake??

Mbona kuna wengi (siwataji) wanaanzisha mada ambazo hata mtoto mdogo anaweza kusema hii issue ni ya jamaa ila ameiwakilisha kama anamuulizia mshikaji. Lakini bado issue ni sensitive na ina deserve michango japo mtoa mada amedanganya kwa kusema ni tatizo la rafikiye si lake.

Na bado kuna issue inaweza kuletwa na mtoa mada akapretend ni yake kumbe si yake amefikiria kitu ambacho kinaweza kutokea.

Imagine kama ni lazima kusema ukweli na yanayokuhusu tu kama kungekuwa na thread hapa.

Nakubali kuna kind ya watu ambao ana kuwa so emotionally involved na tatizo la mtu kwa hivyo anaona hasira kama mtu anadanganya. Cha muhimu ni kuchangia ukijua kuwa yaweza kuwa kweli au si kweli as long as tatizo laweza ku exist duniani; si la kufikirika na kusadikika; wewe mwaga comments tu kama una wazo la kusaidia.

kuna mtu humu simtaji
aliwahi kuja na mada kuwa mkewe amemkataa baada ya kufilisika
na anamnyanyasa mpaka mtoto wake....nilichangia nikiamini kuwa ni kweli

nilipokuja kugundua ilikuwa hadithi,nashindwa hata kusoma post yake yeyote ile

kama sio kweli ni vizuri mtu akasema,au akatumia kwa mfano ingekuwa hivi au vile...
otherwise mimi sipendi kuaminishwa jambo liko hivi kumbe sio....

all in all mimi nashauri member wapya wajifunze kuzoea kwanza ili kujua hata lugha ipi sahihi ya kutumia
kama kisa sio cha kweli...
 
If they're not breaking any JF rules why the other thead of yours was deleted then? Myself I am against censoring free speech. That is why I am opposing the new JF system of moderating MMU. Don't get me wrong, I do believe that people have the right to express themselves, voice their opinions, and criticize others. However, I think there is a difference between mocking and ridiculing others, and criticizing them in a respectful and decent manner. I personally feel that nowadays, many people abuse their freedom of speech, especially over the internet. I believe that it is most common over the internet because a lot of the time, the identitities of people are hidden. This allows people to say whatever they want and still remain anonymous.

Yeah binafsi I think if a post is in the wrong forum, then it should be moved to the right forum.., Also i do agree with you no one has got the right to insult, ridicule, or make others feel inferior or unwanted as well as bullying, also any bad words they are bad for JF well being as well because there are many people of different age and background reading the forum..,

But my friend..., when the post has got no bad words or insults I don't see how JF can remove it, and if they should..., on what grounds I might ask?.., because mantiki is rather relative..., and some might say a little bit of fiction here and there is what spices up the forum..
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuna mada unakuta pages 15 na zaidi ni ma gwiji tu wanajibizana

'aaaawww u r so kind'
'not as much as you'

Mhh today you aint so kind.... :) ha ha haaa..., good point though..., lets not try fixing something which aint there..., JF should count themselves lucky having people posting nearly every second (some forums people post once every few weeks...) after all this is jamii forum.., na kwenye jamii kuna differents strokes for different wanajamii
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom