EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kwa wapenzi wa Jukwaa la MMU,
Wiki hii tumefahamishwa na moderators kuwa kuanzia sasa threads zote ambazo zitakuwa posted hapa MMU zitakuwa under moderation kabla hazijawa approved kama lilivyo Jukwaa la Siasa. Moderators wameamua kufanya hivi kwa sababu kumekuwa na mlolongo wa threads zisizokuwa na maana yoyote au thread ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote ndani ya Jukwaa hili.
Wengi wamekubaliana na hii hoja japokuwa mimi nilikuwa na reservation kama itafanya kazi ipasavyo. Hata hivyo bado inaonekana baadhi ya members wanaanzisha threads ambazo naweza kusema ni feki au za kutunga na kupoteza, pamoja na mambo mengine, muda na resources za members wengine.
Mfano kuna member mmoja alinzisha thread mwezi uliopita titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."
Jana member huyo huyo akaanzisha thread nyingine titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika: "Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje? Ndiye huyu huyu member alianzisha a thead titled: "Mwenzi wangu ana mbweche kubwa.
Kwa kweli hii ni abuse ya hili Jukwaa na imetokea baada ya Moderators kusema kuwa watakuwa wana approve kila thread kabla ya kuwekwa hapa. Najua kabisa kuwa Mods hawawezi kupitia kila thread iliyoanzishwa. Kwa mantiki hiyo, kuna umuhimu wa sisi watumiaji wa Jukwaa la MMU ku moderate threads zinazowekwa hapa kwa ku report abuse kama hizi. Pia kwa faida ya hili jukwaa ni muhimu wale wanaoanzisha threads wajimoderate wenyewe kwa kuwa honest na wanachoandika badala ya ku spam hili jukwaa na stories za uongo. Kama hawawezi kutumia utashi wao kujimoderate then sisi watumiaji tufanye hivyo kwa kuwamoderate. Vingenevyo hili jukwaa litashuka hadhi yake ambayo imejengwa na members wake kwa muda mrefu.
Nashauri tusiwe tuu tunasoma threads na kupost bali pia tuwe tunaangalia threads ambazo zina walakini na kuziripoti kwa Mods. Always remember kifute chekundu cha REPORT ABUSE. Kiko pale kwa sababu za msingi. Naomba kutoa hoja.
Wiki hii tumefahamishwa na moderators kuwa kuanzia sasa threads zote ambazo zitakuwa posted hapa MMU zitakuwa under moderation kabla hazijawa approved kama lilivyo Jukwaa la Siasa. Moderators wameamua kufanya hivi kwa sababu kumekuwa na mlolongo wa threads zisizokuwa na maana yoyote au thread ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote ndani ya Jukwaa hili.
Wengi wamekubaliana na hii hoja japokuwa mimi nilikuwa na reservation kama itafanya kazi ipasavyo. Hata hivyo bado inaonekana baadhi ya members wanaanzisha threads ambazo naweza kusema ni feki au za kutunga na kupoteza, pamoja na mambo mengine, muda na resources za members wengine.
Mfano kuna member mmoja alinzisha thread mwezi uliopita titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."
Jana member huyo huyo akaanzisha thread nyingine titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika: "Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje? Ndiye huyu huyu member alianzisha a thead titled: "Mwenzi wangu ana mbweche kubwa.
Kwa kweli hii ni abuse ya hili Jukwaa na imetokea baada ya Moderators kusema kuwa watakuwa wana approve kila thread kabla ya kuwekwa hapa. Najua kabisa kuwa Mods hawawezi kupitia kila thread iliyoanzishwa. Kwa mantiki hiyo, kuna umuhimu wa sisi watumiaji wa Jukwaa la MMU ku moderate threads zinazowekwa hapa kwa ku report abuse kama hizi. Pia kwa faida ya hili jukwaa ni muhimu wale wanaoanzisha threads wajimoderate wenyewe kwa kuwa honest na wanachoandika badala ya ku spam hili jukwaa na stories za uongo. Kama hawawezi kutumia utashi wao kujimoderate then sisi watumiaji tufanye hivyo kwa kuwamoderate. Vingenevyo hili jukwaa litashuka hadhi yake ambayo imejengwa na members wake kwa muda mrefu.
Nashauri tusiwe tuu tunasoma threads na kupost bali pia tuwe tunaangalia threads ambazo zina walakini na kuziripoti kwa Mods. Always remember kifute chekundu cha REPORT ABUSE. Kiko pale kwa sababu za msingi. Naomba kutoa hoja.