Mfalme Daud
Senior Member
- Feb 3, 2012
- 166
- 109
Asalaaam aleykum ndugu zangu, ninalo zito moyoni mwangu. Nilikuwa na mpenzi wangu tumefahamiana zaidi ya mwaka sasa. Mwezi wa tisa mwaka jana nikiwa field mikoa tofauti nilimwomba aje ili angalau tupunguziane zile hamu. N.B Toka nimefahamiana naye nilikuwa sijawawahi ''kula vyombo'' na kumbuka kuwa tunasoma chuo kimoja. Alikuja nilikaa naye wiki moja kama kawaida nikawa najisevia wakati mwingine ''pekupeku''. Siku ya mwisho nilijisevia akadai nimemgawia katumbo. Nilifurahi sana kwani ni furaha ilioje kuitwa baba. WanaJF, nikawa naendeshwa kweli hapa chuoni na huyu "wife'' mara akawa anahitaji ukwaju na vitu vingine vichachu nikawa nampa kila anachohiji nikijua ana ''kiumbe'' changu na ni my wife to be. Haaa!! miezi ilivyozidi kusonga, dalili za tumbo angalau kuongezeka sikuziona. Akanitaka nianze kuishi naye, misikuwa tayari kwa muda huo si mnajua Koziweki zinabana? Tulipanga kuanza maisha Mwaka Kesho baada ya kugraduate. MWISHONI AKANAMBIA ALIKUWA ANANIDANGANYA, WALA HANA MIMBA YANGU. WANa JF nilijisikia hoooooooovyo na nikamwona hana thamani tena kwangu. Naomba ushauri anaendelea kunifatafata na kujitangaza kwa washkaji kuwa mi wake. Mpaka sasa sitaki ata kumwona kwa alichonifanyia. Mchango wako ni wa maana sana kwangu pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz