WanaJF, Naomba Uenyeji

Gaston Mbilinyi

JF-Expert Member
Jan 24, 2010
296
51
WanaJF Wapendwa,

Salaaam!

Nimekuwa nikitembelea 'the Home of Great Thinkers - JF' na kuwasomeni kama mgeni kwa muda sasa.

Hapa JF ugeni ni mbaya kwani unasoma na kuhabarika, pa kucheka unacheka na siku alaulah zinaongezeka, lakini hauwezi kuuliza au kuchangia chochote mpaka umekaribishwa!

Hivyo kwa ujumbe huu naomba mnipokee na kuniondolea ugeni huu ili niwe mmoja wenu hapa JF.

Natanguliza shukrani kwasababu naamini nyie hamnaga mipaka kama ya Tz na Malawi kwa atakaye kuungana na kushirikiana nanyi. Hivyo naamini kuwa mtanipokea.

G. Mbilinyi
 
Karibu sana, jaribu kupitia kanuni na sheria za JF kwa umakini.
 
Back
Top Bottom