WanaJF! Msaada wenu jamani hapa! Tofauti kati ya hz Gas ya ORXY, MANJI'S na GREATgas!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
WanaJF! Ndg zangu kwa wenye uzoefu ktk ma2mizi ya gas. Kwanza utazikuta ktk ujazo tofauti kt ya kg 15 ikiwa ni mtungi mkubwa,kg 8 hii ikiwa ni mtungi mdogo. Yote haya ni ktk kampuni yote hizo tatu tajwa hapo juu,Cha kunishangaza ni ktk matumizi mwezi wa kwanza nili2mia ya Manji's na nikatumia ktk mwezi na wiki 2,mwezi wa pili nikachukua ya ORYX ile kg 15 sawa na ile ya kwnz ya Manji's lakini ma2mizi ya hii ya ORYX ikawa imekwisha kabla ya hata mwezi kufika na ma2mizi ni kama ile ya Manji's. Jamani kama kuna anayejua uchakachuaji uliopo ndani ya hz mitungi a2juze kwn wengine 2taisha. NAWASILISHA WANAJF!
 
swali muhimu sana hili.....tusubiri wataalam waje
Mkuu! Yani ninawasubiri tu waje kwn nina hakika wengi kama mimi nafikiri 2meisha bila ya kujijuwa. Lakini mi baada ya matumizi yale nimeona km kuna tofauti kubwa sana.
 
Hivi mnajua ni hasara sana! Nita2miaje mambo ya gas mwenyewe? Nasema hivyo kwn nimemwona Preta tu ktk hali ya kuguswa na thread hii.
 
kwa kifupi ni kwamba gesi kama gesi haina tofauti kati ya hayo makampuni matatu. But kuna vitu waga vinatokea.
- waga kuna uchakachuaji kwenye kujaza hizi gesi, utakuta ule uzito haujatimia sawasawa

- kingine nasikia waga unaweza kuta uzito umetimia lakini gesi si nyingi buli ni hewa tu imejazwa pamoja na gesi

- kingine labda ni likeg kwenye pipe au kwenye mdomo wa mtung wa gesi
 
Swali la msingi sana, yaani hii gesi ya Oryx inaisha haraka sana. Mara ya kwanza nilidhani ni regulator nikaweka mpya mambo ni yaleyale wizi mtupu tena hapo ni matumizi madogo ya chai, ugali na kupasha maziwa usiku
 
hawa jamaa siku hizi wanaiba kwani wao ndo wameshika soko na kitu kingine kama una mashaka kuna mizani unapima inatakiwa iwe kilo 30 yaani 15 gesi na 15 ya mtungi huu mzani upo pale bamaga kwa wale wa dar..
 
Swali la msingi sana, yaani hii gesi ya Oryx inaisha haraka sana. Mara ya kwanza nilidhani ni regulator nikaweka mpya mambo ni yaleyale wizi mtupu tena hapo ni matumizi madogo ya chai, ugali na kupasha maziwa usiku
yani utafikiri 2po pamoja kwn nimeshabadilisha regulator na paip lakini mambo ni yaleyale. Hv TBS inazungukia hawa jamaa?
 
Ndg zanguni! Hii thread hakuna aliyekutwa na km hili la kwangu? Hata hili halijamaliza hata wiki tatu limekwisha. Mmmmmhh! Msaada jamani.
 
ni bora utumie jiko la umeme kuliko gesi siku hizi maana garama... nilijaribu kutumia gesi na umeme nikagundua umeme ni chini sana..
Ila umeme ni taratibu, wakati gesi ni araka araka
 
May be tuelimishane kwanza kuhusu aina ya gas inayotumika.
Gas ya Oryx, Manjis, GreatGas etc zote ni BUTANE GAS na imeandikwa kwenye mitungi ya 15kg. Katika hii mitungi kuna (kwa mfano Oryx) utakuta kuna figure imeandikwa 30.2 or 30.1 or 30.3 etc This is the gross weight of the cylinder with its content ambapo ukitoa 15kg from 30.2 kg the balance ndio uzito wa mtungi ukiwa empty. Ila mitungi ya manjis imeandikwa vizuri sana kwa kuonyesha gross and net weight. Nautakuta kwamba net weight ni constant kwa mitungi yote pia ukipima kwenye mizani you get the exact gross weight ilioandikwa kwenye mtungi.
Matumizi yetu ya gas ndio mabovu. Kwa mfano unapasha maji ya kukoga, utachemsha maji mengi up to its boiling point then wakati wa kukoga unalazimika kutumia maji moto kidogo kwa kuchanganya na ya baridi. Maji moto yanabaki mengi bure yet ungeweza kuchemcha kiasi chakutosha bila kuchanganya na maji baridi. Au unakuta mama anatayarisha vifaa vyake vya kupika, wakati anafanya yote haya huku gas inawaka bure bila kuweka chochote. sasa unajiuliza uliwasha gas ya nini wakati hujajitayarisha?
This is wastage of resources. Mimi nadhani swala lipo kwenye matumizi. Nivigumu sana mtungi kutowekwa kiasi cha gas kinachoitajika bcoz machine zinazo weka hii gas kwenye mitungi ni automatic kutokana na kiwango kilicho wekwa.
Mimi kila nikinunua gas naandika tarehe kwenye mtungi ili ikiisha nipate kufahamu muda gani imetumika.
 
Back
Top Bottom