LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Katika hali ya kutokuwa ya kawaida! Tangu leo asubuhi kuna makundi makubwa ya kabila la Maasai na hususan vijana wa kiume ktk umri tofauti na wakiwa wengi sana kwani huku kwe2 Sakina wamepita kama m2 800 na wakati nikiwa tena kule barabara ya Arusha Dodoma nikakutana na raia tena kama 1000 na nikiwa tena huku Ngaramtoni nikakutana tena na kundi lenye m2 kama 800 ama na ushee! Nikakosa mwenyeji wa kunivumbua vema kwn kila mtu mwenye asili ile alikuwa katika pilika ya huku na huko! Na ktk msafa haya karibu wote na bendera zinazoashiria AMANI na ikiandika sehemu watokako. Na wakati nakutana na hawa wenyeji sikuwa hata na camera kwani ingependeza sana mngeona walivyojipamba na wakakubalika kweli kweli! Swali: Je? Ni nini kimewasibu sana hawa ndg ze2? Kama mwenye fununu a2juze humu jamvini. NAWASILISHA JF!!