LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
JUSTIN KASUSURA,aliyekuwa akiandikwa sn na vyanzo vya habari. Lkn takrban miaka miwili cjawahi kumsikia hata yale madola ($) ya wizi cjajuaga imemfikisha wapi. Awmayeju.
Inawezekana bado yupo jela au wamemmtoa wakamwambia afunge mdomo baada ya kuwagawia na wao $
alipo hukumiwa aliangusha bonge la kicheko mahakamani. Hakika aliacha gumzo
Inawezekana bado yupo jela au wamemmtoa wakamwambia afunge mdomo baada ya kuwagawia na wao $