LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Usiku wa leo niliota ndoto yenye msimamo ktk njozi yangu!
Nimeota hivi kwa jinsi nilivyoota ni kwamba mtandao huu wa JF utakuja kuwa mtandao wenye nguvu katika nyanja zote zinazolenga mambo ya habari hapa Nchini.
Utakuwa na warusha matangazo wazuri na watakaoaminika kwa Wanainchi wote hapa Nchini na utakuwa na Members wanaopenda sana ktk ushirikiano wetu wa kila wasaa!
Hiyo ndiyo niliyokutana nayo ktk njozi yangu usiku wa leo kuamkia tar. 13/04/2012
Na kama kuna mwingine aliye na yake aangushe hapa wadau waseme yao!
Habari ndio hiyo Wadau!
Nimeota hivi kwa jinsi nilivyoota ni kwamba mtandao huu wa JF utakuja kuwa mtandao wenye nguvu katika nyanja zote zinazolenga mambo ya habari hapa Nchini.
Utakuwa na warusha matangazo wazuri na watakaoaminika kwa Wanainchi wote hapa Nchini na utakuwa na Members wanaopenda sana ktk ushirikiano wetu wa kila wasaa!
Hiyo ndiyo niliyokutana nayo ktk njozi yangu usiku wa leo kuamkia tar. 13/04/2012
Na kama kuna mwingine aliye na yake aangushe hapa wadau waseme yao!
Habari ndio hiyo Wadau!