LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Nilianza safari ya kuelekea Morogoro kwa safari niliyopata ghafla na nilifika hapa Hedaru nikaona nitie nanga early morning nidamke . Sasa Best niliyemkuta pale kama mwenyeji akanipeleka kwenye nyumba ya wageni yenye maneno haya IKIWAKA MULIKA IKIZIMA PAPASA GEST HOUSE ndg zangu mi sijaongea na huyo mshikaji wala wa mapokezi nikapiga kimya,Na ndiyo nikasema niwajuze WanaJF km kuna aliyewahi kuingiaga hapa na anipe mawili matatu km ipo. Nimewakilisha tu!