Kila siku asubuhi vikosi vya JWTZ hapa zanzibar hufanya mazoez ya kukimbia (mchaka mchaka) kutoka kambi ya Bavuai ilioko maeneo ya migombani hadi Chukwani. kwabahati mbaya leo asubuhi wakati wapo katika zoez hilo la kukimbia katika Barabara ya kuelekea AIR PORT kijana 1 akiwa anaendesha gari aina ya NOAH aliwapiga busa majeshi wapatao 10 waliokuepo kwenye mchaka mchaka huo. wapo waliofariki papo hapo na wapo waliopata majeruhi makubwa na wamesafirishwa Tanzania Bara kwa matibabu.
Dereva wa gari hiyo aliweza kukimbia na gari yake lakini alipofika katika kona ilipinduka ila dereva alitoka na kukimbia mbio. MUNGU AWAPE BARAKA WOTE WALIOKUTWA NA MTIHANI HUO.
Dereva wa gari hiyo aliweza kukimbia na gari yake lakini alipofika katika kona ilipinduka ila dereva alitoka na kukimbia mbio. MUNGU AWAPE BARAKA WOTE WALIOKUTWA NA MTIHANI HUO.