WANAJESHI wameanza kufyatuka kupaza sauti kudai mabadiliko

Hawa nao wanafiki. Kama wanachukia ufisadi hivyo mbona wanawalinda mafisadi? Wamesahau mara hii Shimbo alivyowatisha wananchi wakati wa kuelekea uchaguzi ulioghubikwa na rushwa na uchakachuaji? Kwani jeshi lenyewe ni safi au unafiki na sanaa tupu? Hayo maneno yao yangekuwa na maana kama wangeamua kuwakamata mafisadi waliomshinda mkubwa wao. Hebu tuwape majina ya wachache Jakaya Kikwete, Benjamini Mkapa, Anna Mkapa, Salma Kikwete, Ridhiwan Kikwete, Andrew Chenge, Dr Hosea wa TAKUKURU, Edward Lowassa, Basil Mramba, Daniel Yona, Mohamed Dewji, Didace Massaburi, Zakhia Meghji, Ali Hassan Mwinyi, Nazir Karamagi, Malegesi, Idd Simba, Azim Dewji, Dr Idris Rashid, endeleza... Je wanajeshi wanadhani watanzania ni mataahira au watu waliopoteza kumbukumbu?
 
Inafurahisha kuona HISIA ZA MABADILIKO ZIMEENEA KWA WATANZANIA WENGI. Ile Tanzania tukufu, yenye kuheshimu utawala bora, haki za raia, maadili sasa naanza kuinusa harufu yake. Thanks to THE ALMIGHTY GOD, Tujaalie japo tuishi kuiona Tanzania ambayo fIsadi atanyongwa au kupigwa risasi. Sio hii ya fisadi anaabudiwa na anapewa heshima na kuitwa mheshimiwa. Hakyani Sijui Laana Gani Hii Jamani.
 
Hiyo ni typo, halafu sema "nitajifunza",baada ya hapo,uweke full stop,halafu ndo uendelee kusema "Wewe mwenyewe kiswahili...".Lafudhi yako sijui ya wapi?kihindi?

Huwa nilikuwa nikidhani ni just typos,lakini nimegunduwa kiswahili huwa kinakupa shida kukitype humu.

Kwamfano kama unazungumzia sentesi ya kukanusha ie "Hukufanya...",wewe huwa unasema "ukufanya..."

Ni mfano tu,hata mimi sijui kiswahili sana,lakini sina matatizo kama yako.

Hapo juu umesema "Wewe mwenyewe kiswahili kizuri",halafu more ramblings,mkuu humu tunajifunza pia,kubali kujifunza.Kama hujui kiswahili,kachukuwe kozi ama tembelea jukwaa la lugha.

jmushi1..... you have done a very clinical analysis regarding this dork .... I swear upon God ... I have been stripping the language typing of this ninny and turn it into pronunciation .... I recognized that this dork is not of a local native ... also his behaviour in this forum resembles a foreigner whose wishes are " ... "
 
Now the general who wins a battle makes many calculations in his temple ere the battle is fought. The general who loses a battle makes but few calculations beforehand. Thus do many calculations lead to victory, and few calculations to defeat: how much more no calculation at all! It is by attention to this point that I can foresee who is likely to win or lose.
 
Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio na kuyatolea matamko sasa huyu msemaji wa Chadema amekuwa msemaji wa Wanajeshi, kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Wanajeshi walichosema wanataka mabadiliko ya kiutawala Chadema wachukue nchi.

Magwanda si unajuwa hawana hoja, hawajui Amiri Jeshi Mkuu ni nani?
 
Kuna Tumaini Makene msemaji wa CDM, Tumaini makene mwana JF na Tumaini Makene Mwananchi na Raia.

Habari hii ameileta kama mwananchi/mwanaJF mwingine mwenye uhuru wa kutoa maoni.

Sikuona mahali panapoashiria ameandika kwa niaba ya CDM.

Tujadili hoja na si kutafuta mahali pa kuvuruga mada
 
Wacha kujidhalilisha sio kila kitu kichosemwa na Pro-Chadema wenzako unakiunga mkono mungu amekupa akili zifanyie kazi wapi wanajeshi wamepaza sauti wakidai mabadiliko.
Brother acha kujidhalilisha....!
 
Wanajeshi wametoa maoni yao kutaka mabadiliko ya kimfumo na kiutawala. Lakini Ritz kwa akili yake ya kuku akishasikia neno mabadiliko anajua ni Chadema kuibadili ccm katika utawala wa nchi. Na kwakuwa mkate wake anaupatia ofisi za lumumba kwahiyo anakurupuka tu kuandika bila kutafakari kutokana na kihoro cha watoto kwenda msalani!

Mkuu Mwita Maranya. Si nilishaema hapo nyuma hawa kina majebere, Ritz, zomba, Anael e.t.c hawajadili hoja na mantiki yake!!!! Wao ni kuongeza tu michango hapa jukwaani (Ili wapate cheque yao toka lumumba)!!! Any way kama nyie bado mnaamini kuna la kujadili na hao basi kazi mnayo. Mi napitaga tu kwenye pumba zao, inanisaidia kujua idadi yao tu. Otherwise utapoteza sana muda wako!!!
 
Ni hatari sana kushabikia uasi wa wanajeshi kwa tamaa za kisiasa. Wanajeshi wakidai mabadiliko wanatumia risasi. Ni mtanzania gani anataka kuchochea wanajeshi watumie hivyo vyombo vya moto eti kutaka mabadiliko?

Wanajeshi hawana tamaa kama mbayuwayu wa chadema kila kukicha kupaza sauti na kuchonganisha watanzania eti wafanye vurugu ili slaa awe rais. Hizo ni kerere za chura kama mliyoambiwa jana. Vurugu zikitokea mkeo au mumeo anaweza kuwa wakwanza kufa. Tuliona kule rwanda na burundi na hatutakiii. Endeleeni kuchochea lakini tunajua mbinu zenu zoote zimekwama.

Acheni mawazo ya ki renamo na conservative union.
Mbona kama mmepanic hivi?Kwahiyo hao wanajeshi walioko kambini hawaruhusiwi kutoa maoni yao juu ya katiba mpya?Watu wengine bana,kila kitu siasa.

Kwani unadhani issue ya ufisadi ni ya chadema?we kweli umelala,amka.Usishabikie haya mambo kama mpira wa miguu.
 
Hatari kweli kweli hii! Itabidi kuwa na siku za "mapumziko" kitaifa kwa ajili ya kuzika.

Now, more than 80% ya wanachama wa CCM (5,000,000?) ni mafisadi. Suppose, 30% tu ya hao 80% watatiwa hatiani na hizo adhabu kutekelezwa ndani ya wiki moja baada ya hukumu. Bwa ha ha ha ha ha!

Hii maana yake, ndani ya wiki moja tutapiga risasi na kuzika mafisadi 30% x 80% x 5,000,000 = 1,200,000. Nashauri wazikwe kwenye makaburi ya jumla au wachomwe moto watatumalizia tu ardhi na muda hawa.
Na huo ndiyo utakuwa mwisho wa ufisadi kwani baada ya hapo kila mmoja atagwaya kuufanya maana atajua hatapata muda wa kuu
kufaidi matunda ya ufisadi wake!
 
Nadhani humjui Tumaini Makene, ni nani Chadema, kwa kukusaidia ni msemaji wa Chadema kachukuwa nafasi ya Regia Mtema (R.I.P) ndio maana nimejibu hivyo wewe bila kujua umerukia kumjibia.

Hula nakuhurumia kweli unapoamua kusema uongo halafu unajikausha kama vile unajua. Nakushauri kwa Mara nyingine tena, jitahidi sana kuongeza taarifa na maarifa kaka. Hata wanaokutumia hapa watakuongezea posho mkuu. Fanyia kazi ushauri huo ule bata vyema za kifisadi hapo huku mkihesabu Siku zenu zinavyozidi kuyoyoma kabla gharika la mabadiliko halijawakumba na kuwasomba. Hata ukitumika kuandika uongo kwa kila sentensi unayobandika hapa, basi fanya basi kwa akili fulani hivi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya. Si nilishaema hapo nyuma hawa kina majebere, Ritz, zomba, Anael e.t.c hawajadili hoja na mantiki yake!!!! Wao ni kuongeza tu michango hapa jukwaani (Ili wapate cheque yao toka lumumba)!!! Any way kama nyie bado mnaamini kuna la kujadili na hao basi kazi mnayo. Mi napitaga tu kwenye pumba zao, inanisaidia kujua idadi yao tu. Otherwise utapoteza sana muda wako!!!

Ni vyema wapenda mijadala ya huku jamvini tukawajua vyema na malengo yao hasa lile lengo lao kuu la kuharibu mijadala na kupotosha kwa makusudi.
 
Ni vyema wapenda mijadala ya huku jamvini tukawajua vyema na malengo yao hasa lile lengo lao kuu la kuharibu mijadala na kupotosha kwa makusudi.

Kwani mkuu Tumaini hujagundua kwamba kadri uavyozidi kuwajibu ndo wanavyozidi kuongeza "credit"(kwenye mishahara yao)? The more a GT responds to their **** the more credit they get. Ukisipowajibu basi lumumba wanapunguza mshahara, hivyo basi wao wanajitahidi kuwa "as arrogant as possible (trying to be as provocative as possible" ili mshahara upande juu?? (michango mingi kwenye rubbish means more pay). They dont(and the will never show although they know) see the content/context and reality.
 
Mbona kama mmepanic hivi?Kwahiyo hao wanajeshi walioko kambini hawaruhusiwi kutoa maoni yao juu ya katiba mpya?Watu wengine bana,kila kitu siasa.

Kwani unadhani issue ya ufisadi ni ya chadema?we kweli umelala,amka.Usishabikie haya mambo kama mpira wa miguu.

Mwambie akamsome Plato juu ya every human being is a political animali. Lakini pia sehemu kubwa ya mchakato wa uandishi wa katiba mpya, ni siasa. Mwafaka we kitaifa ni siasa, baadae ndiyo masuala hayo yatawekwa kwenye mfumo aw kisheria iwe katiba. Bila mchakato wa kisiasa na kisheria hatuwezi kupata katiba iliyo bora, hata kama watawala watasema ni mpya.
 
Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio na kuyatolea matamko sasa huyu msemaji wa Chadema amekuwa msemaji wa Wanajeshi, kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Wanajeshi walichosema wanataka mabadiliko ya kiutawala Chadema wachukue nchi.

Wakati mwingine huwa najiuliza, kwani ni lazima uandike hata kama huna point ya kuandika? Unless kama neno mabadiliko limebadilika maana, kama maana ni ile ile basi wanajeshi wametaka pawepo mabadiliko...
 
Kwani mkuu Tumaini hujagundua kwamba kadri uavyozidi kuwajibu ndo wanavyozidi kuongeza "credit"(kwenye mishahara yao)? The more a GT responds to their **** the more credit they get. Ukisipowajibu basi lumumba wanapunguza mshahara, hivyo basi wao wanajitahidi kuwa "as arrogant as possible (trying to be as provocative as possible" ili mshahara upande juu?? (michango mingi kwenye rubbish means more pay). They dont(and the will never show although they know) see the content/context and reality.

Mkuu Muchetz maneno yako yamegonga penyewe. Kama ni kisu umekitia na kimegusa mfupa kabisa. Nimekuelewa chief. Kazi kwangu na kwa wengine kuufanyia kazi ushauri huu. Ingawa hiyo isiondoe mmoja ya dhyana mujibu sana katika mijadala nayo ni; kupenda/ kuwa na uwezo wa kusikiliza/kusoma hata yale usiyoyapenda au kukubaliana nayo. Ni muhimu sana katika kuelewa uwezo au udhaifu alionao adui yako na kujua namna ya kummaliza kwa hoja. Asante Kama muchetz.
 
Tafuta kamusi ya kiswahili angalia maana ya neno mabadiliko.

Sihitaji kusoma kamusi ya kiswahili kwani ni rahisi tu kufikiri ,Mafisadi kwa sasa hushitakiwa kisanii hivyo wa kinyongwa hapo kutakuwa kumefanyika mabadiliko kutoka usanii wa sasa hadi kunyongwa /kupigwa risasi,kwenye mapendekezo mapya.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom