Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Nadhani humjui Tumaini Makene, ni nani Chadema, kwa kukusaidia ni msemaji wa Chadema kachukuwa nafasi ya Regia Mtema (R.I.P) ndio maana nimejibu hivyo wewe bila kujua umerukia kumjibia.
Ondoa umbumbumbu wako hapa. Tangu lini marehemu Regia alikuwa msemaji wa Chadema? Kama kitu hukijui ni vizuri kuuliza kuliko kujifanya kujua kila kitu na kuishia kuongopea watu.
Last edited by a moderator: