dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
kutokana na daraja linalo unganisha kawe na tank bovu kubomoka, wanajeshi wa rugalo ndo wanasimamia movement za watu na magari wakati wa kuvuka daraja. lakini umbali walio uweka ikishuka gari ili upande gari lingine ni mkubwa sana. mtu unashuka njia panda ya kawe unaenda kupanda tank bovu. halafu wanaamulisha utafikili sisi sote wajeda. kwani magari yasingekuwa yanafika darajani kabisa yaani ukishuka gari unapanda gari? mtu hadi upande gari ushalowa.haipendezi. ova